2 Wafalme 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.”+ Na Hezekia akaanza kulia sana.+ Methali 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa Yehova,+ lakini yeye humtangaza mtu mwenye mawazo maovu kuwa mwovu.+
3 “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.”+ Na Hezekia akaanza kulia sana.+
2 Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa Yehova,+ lakini yeye humtangaza mtu mwenye mawazo maovu kuwa mwovu.+