Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 20
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wafalme 20:1

Marejeo

  • +2Nya 32:24
  • +2Fa 19:2
  • +2Sa 17:23
  • +Isa 38:1

2 Wafalme 20:2

Marejeo

  • +Mt 23:12
  • +Zb 50:15; 116:2; Isa 38:2; Mt 6:6; Flp 4:6

2 Wafalme 20:3

Marejeo

  • +Zb 25:7; 119:49; Ebr 6:10
  • +Mwa 17:1; 1Fa 2:4; 3:6; Lu 1:6
  • +Zb 145:18; Yoh 4:24
  • +2Nya 31:21; Zb 119:4
  • +2Nya 31:20
  • +2Sa 12:22; Isa 38:3

2 Wafalme 20:4

Marejeo

  • +Isa 38:4

2 Wafalme 20:5

Marejeo

  • +1Sa 9:16; 10:1; 2Sa 5:2
  • +Mt 22:32
  • +Zb 65:2; 66:19
  • +2Fa 20:2
  • +Ayu 16:16; Zb 39:12; 126:5
  • +Kum 32:39; 2Nya 7:14; Zb 41:3; 103:3; 147:3
  • +Zb 66:13; 116:14; 121:1

2 Wafalme 20:6

Marejeo

  • +2Nya 32:22; Isa 10:24; 38:6
  • +2Fa 19:34; Isa 37:35

2 Wafalme 20:7

Marejeo

  • +1Sa 25:18; 30:12; 1Nya 12:40
  • +Ayu 2:7
  • +Isa 38:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2003, uku. 25

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 5/15 25

2 Wafalme 20:8

Marejeo

  • +Amu 6:17; Isa 7:11; 38:22

2 Wafalme 20:9

Marejeo

  • +Isa 38:7

2 Wafalme 20:10

Marejeo

  • +Mk 10:27

2 Wafalme 20:11

Marejeo

  • +Yos 10:12; 2Nya 32:31; Isa 38:8

2 Wafalme 20:12

Marejeo

  • +Isa 39:1
  • +Mwa 10:10; 11:9
  • +2Sa 10:2

2 Wafalme 20:13

Marejeo

  • +2Nya 32:27; Zb 49:6; Yer 9:23; Yak 4:16
  • +1Fa 10:15
  • +1Fa 10:10; Yer 46:11
  • +Isa 39:2

2 Wafalme 20:14

Marejeo

  • +Isa 39:3
  • +Zb 141:5; Met 25:12

2 Wafalme 20:15

Marejeo

  • +Isa 39:4

2 Wafalme 20:16

Marejeo

  • +Isa 39:5; 55:1

2 Wafalme 20:17

Marejeo

  • +Met 15:25
  • +2Fa 24:13; 25:13; 2Nya 36:18; Yer 27:21; 52:17; Da 1:2
  • +Isa 39:6

2 Wafalme 20:18

Marejeo

  • +Kum 28:48; 29:22; 2Fa 24:12; 25:6; 2Nya 33:11
  • +Da 1:19; 2:49
  • +Isa 39:7

2 Wafalme 20:19

Marejeo

  • +Zb 39:9; Omb 3:22, 38
  • +Est 9:30; Zb 25:5; 38:3; 43:3; 86:11; Isa 38:3
  • +Isa 39:8

2 Wafalme 20:20

Marejeo

  • +Yoh 9:11
  • +2Nya 32:30; Isa 7:3
  • +1Fa 14:29; 2Fa 16:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/2009, uku. 27

    6/15/1997, kur. 9-10

    8/15/1996, kur. 5-6

    Amkeni!,

    6/8/1996, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 5/1 27; w97 6/15 9-10; w96 8/15 5-6; g96 6/8 29

2 Wafalme 20:21

Marejeo

  • +1Fa 2:10; 2Nya 32:33
  • +2Fa 21:16; 23:26; 2Nya 33:11, 13

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Fal. 20:12Nya 32:24
2 Fal. 20:12Fa 19:2
2 Fal. 20:12Sa 17:23
2 Fal. 20:1Isa 38:1
2 Fal. 20:2Mt 23:12
2 Fal. 20:2Zb 50:15; 116:2; Isa 38:2; Mt 6:6; Flp 4:6
2 Fal. 20:3Zb 25:7; 119:49; Ebr 6:10
2 Fal. 20:3Mwa 17:1; 1Fa 2:4; 3:6; Lu 1:6
2 Fal. 20:3Zb 145:18; Yoh 4:24
2 Fal. 20:32Nya 31:21; Zb 119:4
2 Fal. 20:32Nya 31:20
2 Fal. 20:32Sa 12:22; Isa 38:3
2 Fal. 20:4Isa 38:4
2 Fal. 20:51Sa 9:16; 10:1; 2Sa 5:2
2 Fal. 20:5Mt 22:32
2 Fal. 20:5Zb 65:2; 66:19
2 Fal. 20:52Fa 20:2
2 Fal. 20:5Ayu 16:16; Zb 39:12; 126:5
2 Fal. 20:5Kum 32:39; 2Nya 7:14; Zb 41:3; 103:3; 147:3
2 Fal. 20:5Zb 66:13; 116:14; 121:1
2 Fal. 20:62Nya 32:22; Isa 10:24; 38:6
2 Fal. 20:62Fa 19:34; Isa 37:35
2 Fal. 20:71Sa 25:18; 30:12; 1Nya 12:40
2 Fal. 20:7Ayu 2:7
2 Fal. 20:7Isa 38:21
2 Fal. 20:8Amu 6:17; Isa 7:11; 38:22
2 Fal. 20:9Isa 38:7
2 Fal. 20:10Mk 10:27
2 Fal. 20:11Yos 10:12; 2Nya 32:31; Isa 38:8
2 Fal. 20:12Isa 39:1
2 Fal. 20:12Mwa 10:10; 11:9
2 Fal. 20:122Sa 10:2
2 Fal. 20:132Nya 32:27; Zb 49:6; Yer 9:23; Yak 4:16
2 Fal. 20:131Fa 10:15
2 Fal. 20:131Fa 10:10; Yer 46:11
2 Fal. 20:13Isa 39:2
2 Fal. 20:14Isa 39:3
2 Fal. 20:14Zb 141:5; Met 25:12
2 Fal. 20:15Isa 39:4
2 Fal. 20:16Isa 39:5; 55:1
2 Fal. 20:17Met 15:25
2 Fal. 20:172Fa 24:13; 25:13; 2Nya 36:18; Yer 27:21; 52:17; Da 1:2
2 Fal. 20:17Isa 39:6
2 Fal. 20:18Kum 28:48; 29:22; 2Fa 24:12; 25:6; 2Nya 33:11
2 Fal. 20:18Da 1:19; 2:49
2 Fal. 20:18Isa 39:7
2 Fal. 20:19Zb 39:9; Omb 3:22, 38
2 Fal. 20:19Est 9:30; Zb 25:5; 38:3; 43:3; 86:11; Isa 38:3
2 Fal. 20:19Isa 39:8
2 Fal. 20:20Yoh 9:11
2 Fal. 20:202Nya 32:30; Isa 7:3
2 Fal. 20:201Fa 14:29; 2Fa 16:19
2 Fal. 20:211Fa 2:10; 2Nya 32:33
2 Fal. 20:212Fa 21:16; 23:26; 2Nya 33:11, 13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wafalme 20:1-21

2 Wafalme

20 Katika siku hizo Hezekia akawa mgonjwa kufikia hatua ya kufa.+ Basi Isaya+ mwana wa Amozi nabii akaingia kwake na kumwambia: “Yehova amesema hivi, ‘Wape amri watu wa nyumba yako,+ kwa maana wewe hakika utakufa wala hutaishi.’”+ 2 Ndipo akageuza uso wake kuelekea ukuta,+ akaanza kusali kwa Yehova,+ akisema: 3 “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.”+ Na Hezekia akaanza kulia sana.+

4 Na ikawa kwamba Isaya hakuwa amefika katika ua wa kati, wakati neno la Yehova lilipomjia,+ na kusema: 5 “Rudi, umwambie Hezekia kiongozi+ wa watu wangu, ‘Yehova, Mungu+ wa Daudi babu yako, amesema hivi: “Nimeisikia+ sala+ yako. Nimeyaona machozi+ yako. Tazama, ninakuponya.+ Siku ya tatu utapanda kwenda katika nyumba ya Yehova.+ 6 Na hakika mimi nitaongeza miaka kumi na mitano kwa siku zako, nami nitakukomboa wewe pamoja na jiji hili kutoka katika mkono wa mfalme wa Ashuru, nami nitalilinda+ jiji hili kwa ajili yangu mwenyewe na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”’”+

7 Na Isaya akaendelea kusema: “Chukueni keki ya tini kavu zilizoshinikizwa.”+ Basi wakaichukua na kuitia juu ya lile jipu,+ kisha akapona+ hatua kwa hatua.

8 Wakati huo, Hezekia akamwambia Isaya: “Kuna ishara+ gani kwamba Yehova ataniponya nami hakika nitapanda siku ya tatu kwenda katika nyumba ya Yehova?” 9 Isaya akasema: “Hii ndiyo ishara+ kwa ajili yako kutoka kwa Yehova kwamba Yehova atatenda neno ambalo amesema: Je, kivuli kiende mbele vipandio kumi vya ngazi au kirudi nyuma vipandio kumi?” 10 Ndipo Hezekia akasema: “Ni jambo rahisi kivuli kwenda mbele vipandio kumi, wala si kwamba kivuli kirudi nyuma vipandio kumi.”+ 11 Kwa hiyo Isaya nabii akaanza kumwita Yehova; naye akafanya kile kivuli ambacho kilikuwa kimeshuka kirudi nyuma juu ya vile vipandio, yaani, juu ya vile vipandio vya ngazi ya Ahazi, vipandio kumi kurudi nyuma.+

12 Wakati huo Berodak-baladani+ mwana wa Baladani mfalme wa Babiloni+ alimtumia Hezekia barua+ na zawadi; kwa maana alikuwa amesikia kwamba Hezekia alikuwa mgonjwa. 13 Na Hezekia akawasikiliza na kuwaonyesha nyumba yake yote ya hazina,+ fedha na dhahabu+ na mafuta ya zeri+ na mafuta mazuri na ghala lake la silaha na vyote vilivyokuwa katika hazina zake. Hakuna kitu chochote ambacho Hezekia hakuwaonyesha katika nyumba yake na katika mamlaka yake yote.+

14 Baada ya hapo Isaya nabii akaingia kwa Mfalme Hezekia na kumwambia:+ “Watu hawa walisema nini nao walitoka wapi wakaja kwako?”+ Kwa hiyo Hezekia akasema: “Walitoka katika nchi ya mbali, kutoka Babiloni.” 15 Akaendelea kusema: “Waliona nini ndani ya nyumba yako?” Naye Hezekia akasema: “Waliona kila kitu kilicho ndani ya nyumba yangu. Hakuna chochote ambacho sikuwaonyesha katika hazina zangu.”+

16 Sasa Isaya akamwambia Hezekia: “Sikia neno la Yehova,+ 17 ‘ “Tazama! Siku zinakuja, na vyote vilivyo ndani ya nyumba+ yako na ambavyo mababu zako wameweka akiba mpaka leo hii vitachukuliwa kwenda Babiloni.+ Hakuna chochote kitakachobaki,”+ Yehova amesema. 18 “Na baadhi ya wana wako mwenyewe watakaotoka kwako ambao utawazaa, watachukuliwa+ na kuwa maofisa wa makao+ ya mfalme katika jumba la mfalme wa Babiloni.”’”+

19 Ndipo Hezekia akamwambia Isaya: “Neno la Yehova ambalo umesema ni jema.”+ Naye akaendelea kusema: “Je, sivyo, ikiwa amani na kweli+ zitaendelea kuwapo katika siku zangu?”+

20 Na mambo mengine ya Hezekia na nguvu zake zote na jinsi alivyotengeneza kile kidimbwi+ na bomba+ la maji kisha akaleta maji ndani ya jiji, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda? 21 Mwishowe Hezekia akalala pamoja na mababu+ zake; na Manase+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki