2 Wafalme 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Siku hizo Hezekia akawa mgonjwa karibu afe.+ Nabii Isaya mwana wa Amozi akaja na kumwambia, “Yehova anasema hivi: ‘Wape maagizo watu wa nyumba yako, kwa maana utakufa; hutapona.’”+
20 Siku hizo Hezekia akawa mgonjwa karibu afe.+ Nabii Isaya mwana wa Amozi akaja na kumwambia, “Yehova anasema hivi: ‘Wape maagizo watu wa nyumba yako, kwa maana utakufa; hutapona.’”+