16 “Karibu wakati kama huu kesho nitatuma mtu kwako kutoka katika nchi ya Benyamini,+ nawe umtie mafuta+ awe kiongozi juu ya watu wangu Israeli; naye atawaokoa watu wangu kutoka mkononi mwa Wafilisti,+ kwa sababu nimeona mateso ya watu wangu, kwa maana kilio chao kimenifikia.”+
10Ndipo Samweli akachukua chupa+ ya mafuta na kuyamimina juu ya kichwa chake, akambusu+ na kusema: “Je, si kwa sababu Yehova amekutia mafuta uwe kiongozi+ juu ya urithi wake?+
2 Jana na juzi vilevile,+ Sauli alipokuwa mfalme juu yetu, ni wewe uliyeongoza Israeli katika kuwatoa na kuwaingiza.+ Na Yehova alikuambia, ‘Wewe utawachunga+ watu wangu Israeli, nawe utakuwa kiongozi+ juu ya Israeli.’”