Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Samweli 10:1

Marejeo

  • +1Sa 16:13; 2Fa 9:3
  • +Mwa 31:55; 48:10; 50:1; 2Sa 19:39
  • +Mwa 49:27; 1Sa 8:9; 9:16; Mdo 13:21
  • +Kut 19:5; Kum 32:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 73

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2011, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 1/1 27

1 Samweli 10:2

Marejeo

  • +Mwa 35:19
  • +1Sa 9:3; 10:16
  • +1Sa 9:5

1 Samweli 10:3

Marejeo

  • +Mwa 28:19, 22; 1Sa 7:16
  • +Amu 6:19; 15:1
  • +Yer 37:21
  • +Law 23:13; Hes 15:5

1 Samweli 10:4

Marejeo

  • +Amu 18:15

1 Samweli 10:5

Marejeo

  • +Mwa 5:22
  • +1Sa 13:3
  • +1Sa 19:20; 2Fa 2:3; 4:38; 6:1
  • +1Sa 9:12
  • +1Nya 13:8
  • +1Sa 18:6
  • +1Fa 1:40; Isa 5:12
  • +2Sa 6:5; 1Fa 10:12; 1Nya 16:5

1 Samweli 10:6

Marejeo

  • +Hes 11:25; Mdo 28:25; 2Pe 1:21
  • +1Sa 10:10; 19:23; 1Fa 18:29; 22:10

1 Samweli 10:7

Marejeo

  • +Kut 4:8; 1Sa 10:9; Yer 44:29
  • +Amu 9:33
  • +Kum 20:1; Amu 6:12

1 Samweli 10:8

Marejeo

  • +1Sa 7:16; 11:14
  • +1Sa 13:9
  • +1Sa 13:8

1 Samweli 10:9

Marejeo

  • +1Sa 10:6; 1Fa 3:12; Zb 51:10
  • +1Sa 10:7; Isa 38:7

1 Samweli 10:10

Marejeo

  • +Amu 14:6; 1Sa 11:6; 16:13; Zek 4:6; 2Ko 3:5
  • +1Sa 10:6; 19:23

1 Samweli 10:11

Marejeo

  • +1Sa 19:24; Mt 13:54; Mdo 6:15

1 Samweli 10:12

Marejeo

  • +Ayu 27:1; Zb 78:2

1 Samweli 10:14

Marejeo

  • +1Sa 9:3

1 Samweli 10:16

Marejeo

  • +Zb 141:3; Met 10:19; 13:3; 21:23; 27:2; Yer 9:23

1 Samweli 10:17

Marejeo

  • +1Sa 7:5

1 Samweli 10:18

Marejeo

  • +Kum 18:20
  • +Kut 13:14; 14:30; Kum 4:34; Amu 6:8; Ne 9:9
  • +Ne 9:27; Zb 107:19

1 Samweli 10:19

Marejeo

  • +1Sa 8:7; 12:12
  • +2Nya 30:6

1 Samweli 10:20

Marejeo

  • +Yos 7:14; Mdo 1:24
  • +Yos 7:16; 1Sa 9:21

1 Samweli 10:21

Marejeo

  • +Yos 7:17
  • +Yos 7:18; Mdo 13:21

1 Samweli 10:22

Marejeo

  • +Amu 1:1; 20:18, 28; 1Sa 23:2
  • +1Sa 9:21; Met 11:2; Lu 9:48

1 Samweli 10:23

Marejeo

  • +1Sa 9:2

1 Samweli 10:24

Marejeo

  • +Kum 17:15; 1Sa 9:17
  • +1Fa 1:25, 39; 2Fa 11:12; Mt 21:9

1 Samweli 10:25

Marejeo

  • +1Sa 8:11

1 Samweli 10:26

Marejeo

  • +Yos 18:28; Amu 20:14; 1Sa 11:4; 13:2; 2Sa 21:6
  • +Ezr 1:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2015, uku. 10

1 Samweli 10:27

Marejeo

  • +2Sa 20:1; 2Nya 13:7; Nah 1:15
  • +1Sa 11:12; Mdo 7:51
  • +Mhu 10:20
  • +1Fa 10:10; 2Nya 17:5; Met 18:16; Mt 2:11
  • +Met 17:27; Gal 5:23; Yak 1:19

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Sam. 10:11Sa 16:13; 2Fa 9:3
1 Sam. 10:1Mwa 31:55; 48:10; 50:1; 2Sa 19:39
1 Sam. 10:1Mwa 49:27; 1Sa 8:9; 9:16; Mdo 13:21
1 Sam. 10:1Kut 19:5; Kum 32:9
1 Sam. 10:2Mwa 35:19
1 Sam. 10:21Sa 9:3; 10:16
1 Sam. 10:21Sa 9:5
1 Sam. 10:3Mwa 28:19, 22; 1Sa 7:16
1 Sam. 10:3Amu 6:19; 15:1
1 Sam. 10:3Yer 37:21
1 Sam. 10:3Law 23:13; Hes 15:5
1 Sam. 10:4Amu 18:15
1 Sam. 10:5Mwa 5:22
1 Sam. 10:51Sa 13:3
1 Sam. 10:51Sa 19:20; 2Fa 2:3; 4:38; 6:1
1 Sam. 10:51Sa 9:12
1 Sam. 10:51Nya 13:8
1 Sam. 10:51Sa 18:6
1 Sam. 10:51Fa 1:40; Isa 5:12
1 Sam. 10:52Sa 6:5; 1Fa 10:12; 1Nya 16:5
1 Sam. 10:6Hes 11:25; Mdo 28:25; 2Pe 1:21
1 Sam. 10:61Sa 10:10; 19:23; 1Fa 18:29; 22:10
1 Sam. 10:7Kut 4:8; 1Sa 10:9; Yer 44:29
1 Sam. 10:7Amu 9:33
1 Sam. 10:7Kum 20:1; Amu 6:12
1 Sam. 10:81Sa 7:16; 11:14
1 Sam. 10:81Sa 13:9
1 Sam. 10:81Sa 13:8
1 Sam. 10:91Sa 10:6; 1Fa 3:12; Zb 51:10
1 Sam. 10:91Sa 10:7; Isa 38:7
1 Sam. 10:10Amu 14:6; 1Sa 11:6; 16:13; Zek 4:6; 2Ko 3:5
1 Sam. 10:101Sa 10:6; 19:23
1 Sam. 10:111Sa 19:24; Mt 13:54; Mdo 6:15
1 Sam. 10:12Ayu 27:1; Zb 78:2
1 Sam. 10:141Sa 9:3
1 Sam. 10:16Zb 141:3; Met 10:19; 13:3; 21:23; 27:2; Yer 9:23
1 Sam. 10:171Sa 7:5
1 Sam. 10:18Kum 18:20
1 Sam. 10:18Kut 13:14; 14:30; Kum 4:34; Amu 6:8; Ne 9:9
1 Sam. 10:18Ne 9:27; Zb 107:19
1 Sam. 10:191Sa 8:7; 12:12
1 Sam. 10:192Nya 30:6
1 Sam. 10:20Yos 7:14; Mdo 1:24
1 Sam. 10:20Yos 7:16; 1Sa 9:21
1 Sam. 10:21Yos 7:17
1 Sam. 10:21Yos 7:18; Mdo 13:21
1 Sam. 10:22Amu 1:1; 20:18, 28; 1Sa 23:2
1 Sam. 10:221Sa 9:21; Met 11:2; Lu 9:48
1 Sam. 10:231Sa 9:2
1 Sam. 10:24Kum 17:15; 1Sa 9:17
1 Sam. 10:241Fa 1:25, 39; 2Fa 11:12; Mt 21:9
1 Sam. 10:251Sa 8:11
1 Sam. 10:26Yos 18:28; Amu 20:14; 1Sa 11:4; 13:2; 2Sa 21:6
1 Sam. 10:26Ezr 1:5
1 Sam. 10:272Sa 20:1; 2Nya 13:7; Nah 1:15
1 Sam. 10:271Sa 11:12; Mdo 7:51
1 Sam. 10:27Mhu 10:20
1 Sam. 10:271Fa 10:10; 2Nya 17:5; Met 18:16; Mt 2:11
1 Sam. 10:27Met 17:27; Gal 5:23; Yak 1:19
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Samweli 10:1-27

1 Samweli

10 Ndipo Samweli akachukua chupa+ ya mafuta na kuyamimina juu ya kichwa chake, akambusu+ na kusema: “Je, si kwa sababu Yehova amekutia mafuta uwe kiongozi+ juu ya urithi wake?+ 2 Utakapoondoka kwangu leo hakika utakuta watu wawili karibu na kaburi la Raheli+ katika eneo la Benyamini katika Selsa, nao watakuambia, ‘Wale punda-jike ambao ulienda kutafuta wamepatikana, lakini sasa baba yako ameacha habari za wale punda-jike+ naye anawahangaikia ninyi, akisema: “Nitafanya nini kwa ajili ya mwanangu?”’+ 3 Nawe utapita kutoka hapo na kusonga mbele zaidi, uje mpaka kwenye ule mti mkubwa wa Tabori, na hapo wanaume watatu watakutana nawe, wakipanda kwenda kwa Mungu wa kweli katika Betheli,+ mmoja akiwa amebeba wana-mbuzi+ watatu na mwingine akiwa amebeba mikate mitatu ya mviringo+ na mwingine akiwa amebeba mtungi mkubwa wa divai.+ 4 Na watauliza habari za hali yako+ na kukupa mikate miwili, nawe uikubali kutoka mkononi mwao. 5 Ni baada ya hapo kwamba utakuja kwenye kilima cha Mungu wa kweli,+ palipo na kambi ya kijeshi+ ya Wafilisti. Na itakuwa kwamba wakati utakapokuja hapo kwenye jiji, utakutana na kikundi cha manabii+ wakishuka kutoka mahali pa juu,+ na mbele yao kukiwa na kinanda+ na tari+ na filimbi+ na kinubi,+ huku wakisema kama manabii. 6 Na roho+ ya Yehova hakika itaanza kutenda kazi juu yako, kisha utasema kama nabii+ pamoja nao, nawe utabadilishwa uwe mtu mwingine. 7 Na itakuwa kwamba ishara+ hizo zitakapokuja juu yako, jifanyie lile ambalo mkono wako unaweza,+ kwa sababu Mungu wa kweli yupo pamoja nawe.+ 8 Nawe ushuke mbele yangu kwenda Gilgali;+ na tazama! ninashuka kuja kwako ili nitoe dhabihu za kuteketezwa, ili nitoe dhabihu za ushirika.+ Uendelee kungojea siku saba+ mpaka nitakapokujia, nami hakika nitakujulisha yale unayopaswa kufanya.”

9 Na ikawa kwamba mara tu alipogeuza bega lake aende zake kutoka kwa Samweli, Mungu akaanza kuubadili moyo wake uwe mwingine;+ na ishara+ hizo zote zikatimia siku hiyo. 10 Basi wakatoka hapo wakaenda kwenye kilima, na tazama, kulikuwa na kikundi cha manabii kikija kumpokea; ndipo mara moja roho ya Mungu ikaanza kutenda kazi juu yake,+ naye akaanza kusema kama nabii+ katikati yao. 11 Na ikawa kwamba wakati watu wote waliokuwa wakimjua hapo zamani walipomwona, tazama! alikuwa akitoa unabii pamoja na manabii. Basi watu wakaambiana: “Ni nini hili lililompata mwana wa Kishi? Je, Sauli pia yumo kati ya manabii?”+ 12 Ndipo mtu mmoja kutoka hapo akajibu na kusema: “Lakini baba yao ni nani?” Ndiyo sababu kumekuwa na neno la kimethali:+ “Je, Sauli pia yumo kati ya manabii?”

13 Mwishowe akamaliza kusema kama nabii, akaja mahali pa juu. 14 Baadaye ndugu ya baba ya Sauli akamwambia yeye na mtumishi wake: “Mlienda wapi?” Naye akasema: “Kuwatafuta wale punda-jike,+ nasi tukaendelea kwenda ili tuone, lakini hawakuwapo. Basi tukaenda kwa Samweli.” 15 Kisha ndugu ya baba ya Sauli akasema: “Tafadhali niambieni, Samweli aliwaambia nini?” 16 Sauli naye akamwambia ndugu ya baba yake: “Alituambia kwa uhakika kwamba wale punda-jike walikuwa wamepatikana.” Lakini yeye hakumwambia lile jambo la ufalme, ambalo Samweli alikuwa amesema.+

17 Na Samweli akawaita watu pamoja waje mbele za Yehova kule Mispa+ 18 na kuwaambia wana wa Israeli: “Yehova, Mungu wa Israeli amesema hivi,+ ‘Mimi ndiye niliyewatoa Israeli kutoka Misri nami nikawakomboa ninyi kutoka mkono wa Misri+ na kutoka mkono wa falme zote zilizokuwa zikiwakandamiza ninyi.+ 19 Lakini ninyi—leo mmemkataa Mungu+ wenu ambaye alikuwa mwokozi wenu kutoka katika maovu yenu yote na taabu zenu, nanyi mkasema: “Hapana, bali uweke mfalme juu yetu.” Basi sasa simameni mbele za Yehova kulingana na makabila+ yenu na kulingana na maelfu yenu.’”

20 Basi Samweli akafanya makabila yote ya Israeli yakaribie,+ nalo kabila la Benyamini likachaguliwa.+ 21 Kisha akafanya kabila la Benyamini likaribie kulingana na familia zao, ndipo familia ya Wamatri ikachaguliwa.+ Mwishowe Sauli mwana wa Kishi akachaguliwa.+ Nao wakamtafuta, lakini hakupatikana. 22 Kwa hiyo wakamuuliza+ tena Yehova: “Je, mtu huyo amekwisha kuja hapa?” Ndipo Yehova akasema: “Tazama, amejificha+ kati ya mizigo.” 23 Basi wakakimbia na kumchukua kutoka hapo. Aliposimama katikati ya watu, alikuwa mrefu kuliko watu wengine wote kuanzia mabega yake na kwenda juu.+ 24 Ndipo Samweli akawaambia watu wote: “Je, mmemwona yule ambaye Yehova amemchagua,+ kwamba hakuna yeyote kama yeye kati ya watu wote?” Nao watu wote wakaanza kupiga kelele na kusema: “Mfalme na aishi!”+

25 Kwa hiyo Samweli akasema na watu kuhusu fungu ambalo ni haki ya ufalme+ na kuandika hayo katika kitabu na kukiweka mbele za Yehova. Kisha Samweli akawaacha watu wote waende zao, kila mmoja nyumbani kwake. 26 Bali Sauli akaenda nyumbani kwake kule Gibea,+ na wanaume mashujaa ambao Mungu alikuwa amegusa mioyo yao wakaenda pamoja naye.+ 27 Lakini watu wasiofaa kitu+ wakasema: “Huyu atatuokoa vipi?”+ Basi wakamdharau,+ wala hawakumletea zawadi yoyote.+ Lakini yeye akaendelea kuwa kama mtu asiyeweza kusema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki