1 Samweli 11:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na watu wakaanza kumwambia Samweli: “Ni nani wanaosema, ‘Je, Sauli atakuwa mfalme juu yetu?’+ Watoeni watu hao, ili tuwaue.”+ Matendo 7:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+
12 Na watu wakaanza kumwambia Samweli: “Ni nani wanaosema, ‘Je, Sauli atakuwa mfalme juu yetu?’+ Watoeni watu hao, ili tuwaue.”+
51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+