Mambo ya Walawi 26:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Hata hivyo, mimi nilitembea kwa kuwapinga,+ na nikalazimika kuwaleta katika nchi ya adui zao.+ “‘Labda wakati huo moyo wao ambao haujatahiriwa+ utanyenyekezwa,+ na wakati huo watalipia kosa lao. Kumbukumbu la Torati 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nanyi mtatahiri govi la mioyo+ yenu wala msifanye shingo zenu kuwa ngumu tena.+
41 Hata hivyo, mimi nilitembea kwa kuwapinga,+ na nikalazimika kuwaleta katika nchi ya adui zao.+ “‘Labda wakati huo moyo wao ambao haujatahiriwa+ utanyenyekezwa,+ na wakati huo watalipia kosa lao.