7 mnapowaingiza ndani wageni ambao hawajatahiriwa moyoni na ambao hawajatahiriwa katika mwili,+ ili wawe ndani ya patakatifu pangu na kupatia unajisi, naam, nyumba yangu; mnapotoa mkate+ wangu, mafuta+ na damu,+ huku wakiendelea kuvunja agano langu kwa sababu ya machukizo yenu yote.+