Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 30:1

Marejeo

  • +Kum 11:27; 28:2
  • +Kum 11:28; 28:15
  • +1Fa 8:47; Ne 1:9; Eze 18:28; Yoe 2:13
  • +2Fa 17:6, 23; 25:26; 2Nya 36:20

Kumbukumbu la Torati 30:2

Marejeo

  • +Isa 55:7; Ho. 3:5; 1Yo 1:9
  • +Kum 4:29

Kumbukumbu la Torati 30:3

Marejeo

  • +Yer 29:14
  • +Omb 3:22
  • +Ezr 1:3; Zb 147:2; Isa 56:8; Yer 32:37; Eze 34:13

Kumbukumbu la Torati 30:4

Marejeo

  • +Kum 28:64; Isa 11:11; Sef 3:20; Zek 8:7

Kumbukumbu la Torati 30:5

Marejeo

  • +Ne 1:9

Kumbukumbu la Torati 30:6

Marejeo

  • +Kum 10:16; Ro 2:29
  • +Yer 32:39
  • +Kum 6:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 13

Kumbukumbu la Torati 30:7

Marejeo

  • +Mwa 12:3; Isa 10:12; Yer 25:12; Omb 3:64; Ro 12:19

Kumbukumbu la Torati 30:8

Marejeo

  • +Kum 30:2

Kumbukumbu la Torati 30:9

Marejeo

  • +Isa 65:21; Mal 3:10; Mt 6:33; Flp 4:19
  • +Kum 7:14; 28:4; Zb 107:38
  • +Law 26:4; Zb 67:6; 2Ko 9:10
  • +Kum 15:4; Met 10:22
  • +Kum 28:63; Yer 32:41

Kumbukumbu la Torati 30:10

Marejeo

  • +Kum 26:17; 30:2
  • +Ne 1:9; Eze 18:21; 33:11; Mdo 3:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 89

Kumbukumbu la Torati 30:11

Marejeo

  • +Zb 147:19; Met 2:4; Isa 45:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2009, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 11/1 31

Kumbukumbu la Torati 30:12

Marejeo

  • +Ro 10:6

Kumbukumbu la Torati 30:14

Marejeo

  • +Ro 10:8
  • +Mt 7:21; Yak 1:25

Kumbukumbu la Torati 30:15

Marejeo

  • +Kum 11:26; 32:47

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2009, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 11/1 31

Kumbukumbu la Torati 30:16

Marejeo

  • +Kum 6:5; 30:6
  • +Met 19:16; 1Ko 7:19
  • +Law 25:18; Kum 4:45; Zb 19:9
  • +Law 18:5; Ne 9:29; Gal 3:12
  • +Kum 30:5

Kumbukumbu la Torati 30:17

Marejeo

  • +Kum 29:18; 1Sa 12:25; Ebr 3:12
  • +Kum 4:19; 31:29; Zb 96:5

Kumbukumbu la Torati 30:18

Marejeo

  • +Kum 8:19; Yos 23:15

Kumbukumbu la Torati 30:19

Marejeo

  • +Kum 4:26; 31:28; Isa 1:2
  • +Kum 32:47
  • +Kum 11:26; 28:2
  • +Kum 27:26; 28:15
  • +Yos 24:15
  • +Kum 6:2; Yer 32:39

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 44

    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),

    Na. 2 2018 kur. 14-15

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    2/15/2010, uku. 28

    6/1/2006, uku. 27

    7/15/1999, kur. 11-12

    6/15/1996, kur. 12-17

    Amkeni!,

    2/2009, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 2/15 28; g 2/09 13; w06 6/1 27; w99 7/15 11-12; w96 6/15 12-17

Kumbukumbu la Torati 30:20

Marejeo

  • +Kum 10:12
  • +Kum 4:4
  • +Kum 4:40
  • +Mwa 12:7; 15:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 44

    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),

    Na. 2 2018 kur. 14-15

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    2/15/2010, uku. 28

    11/1/2009, uku. 31

    6/1/2006, kur. 28-29

    7/15/1999, kur. 11-12

    Amkeni!,

    2/2009, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 2/15 28; w09 11/1 31; g 2/09 13; w06 6/1 28-29; w99 7/15 11-12

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 30:1Kum 11:27; 28:2
Kum. 30:1Kum 11:28; 28:15
Kum. 30:11Fa 8:47; Ne 1:9; Eze 18:28; Yoe 2:13
Kum. 30:12Fa 17:6, 23; 25:26; 2Nya 36:20
Kum. 30:2Isa 55:7; Ho. 3:5; 1Yo 1:9
Kum. 30:2Kum 4:29
Kum. 30:3Yer 29:14
Kum. 30:3Omb 3:22
Kum. 30:3Ezr 1:3; Zb 147:2; Isa 56:8; Yer 32:37; Eze 34:13
Kum. 30:4Kum 28:64; Isa 11:11; Sef 3:20; Zek 8:7
Kum. 30:5Ne 1:9
Kum. 30:6Kum 10:16; Ro 2:29
Kum. 30:6Yer 32:39
Kum. 30:6Kum 6:5
Kum. 30:7Mwa 12:3; Isa 10:12; Yer 25:12; Omb 3:64; Ro 12:19
Kum. 30:8Kum 30:2
Kum. 30:9Isa 65:21; Mal 3:10; Mt 6:33; Flp 4:19
Kum. 30:9Kum 7:14; 28:4; Zb 107:38
Kum. 30:9Law 26:4; Zb 67:6; 2Ko 9:10
Kum. 30:9Kum 15:4; Met 10:22
Kum. 30:9Kum 28:63; Yer 32:41
Kum. 30:10Kum 26:17; 30:2
Kum. 30:10Ne 1:9; Eze 18:21; 33:11; Mdo 3:19
Kum. 30:11Zb 147:19; Met 2:4; Isa 45:19
Kum. 30:12Ro 10:6
Kum. 30:14Ro 10:8
Kum. 30:14Mt 7:21; Yak 1:25
Kum. 30:15Kum 11:26; 32:47
Kum. 30:16Kum 6:5; 30:6
Kum. 30:16Met 19:16; 1Ko 7:19
Kum. 30:16Law 25:18; Kum 4:45; Zb 19:9
Kum. 30:16Law 18:5; Ne 9:29; Gal 3:12
Kum. 30:16Kum 30:5
Kum. 30:17Kum 29:18; 1Sa 12:25; Ebr 3:12
Kum. 30:17Kum 4:19; 31:29; Zb 96:5
Kum. 30:18Kum 8:19; Yos 23:15
Kum. 30:19Kum 4:26; 31:28; Isa 1:2
Kum. 30:19Kum 32:47
Kum. 30:19Kum 11:26; 28:2
Kum. 30:19Kum 27:26; 28:15
Kum. 30:19Yos 24:15
Kum. 30:19Kum 6:2; Yer 32:39
Kum. 30:20Kum 10:12
Kum. 30:20Kum 4:4
Kum. 30:20Kum 4:40
Kum. 30:20Mwa 12:7; 15:18
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 30:1-20

Kumbukumbu la Torati

30 “Na itatukia kwamba wakati ambapo maneno yote haya yatakuja juu yako, baraka+ na laana,+ ambazo nimeweka mbele yako, nawe umeyarudisha moyoni+ mwako kati ya mataifa yote ambako Yehova Mungu wako amekutawanya,+ 2 nawe utakapokuwa umerudi kwa Yehova Mungu wako+ na kusikiliza sauti yake kulingana na yote ninayokuamuru leo, wewe na wana wako, kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote,+ 3 ndipo Yehova Mungu wako atakaporudisha mateka+ wako pia na kukuonyesha rehema+ na kukukusanya tena kutoka kwa vikundi vyote vya watu ambako Yehova Mungu wako amekutawanya.+ 4 Ikiwa watu wako waliotawanywa watakuwa kwenye mwisho wa mbingu, kutoka huko Yehova Mungu wako atakukusanya na kutoka huko atakuchukua.+ 5 Yehova Mungu wako kwa kweli atakuleta katika nchi ambayo baba zako walimiliki, nawe utaimiliki; naye kwa kweli atakufanyia mema na kukuzidisha wewe kuliko baba zako.+ 6 Na Yehova Mungu wako atautahiri moyo wako+ na moyo wa uzao wako,+ ili wewe umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote kwa ajili ya uhai wako.+ 7 Na Yehova Mungu wako hakika ataweka viapo hivi vyote juu ya adui zako na wale wanaokuchukia, ambao wamekutesa.+

8 “Na wewe, utageuka uisikilize sauti ya Yehova na kufanya amri zake zote ninazokuamuru leo.+ 9 Na Yehova Mungu wako kwa kweli atakufanya uwe na wingi kupita kiasi katika kila kazi ya mkono wako,+ katika uzao wa tumbo lako na katika uzao wa wanyama wako wa kufugwa+ na mazao ya udongo wako,+ na kutokeza ufanisi;+ kwa sababu Yehova atakuwa na furaha tena juu yako kwa mema, kama vile alivyokuwa na furaha juu ya mababu zako;+ 10 kwa maana utaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako ili uzishike amri zake na sheria zake zilizoandikwa katika kitabu hiki cha sheria,+ kwa sababu utarudi kwa Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na nafsi yako yote.+

11 “Kwa maana amri hii ninayokuamuru leo si ngumu mno kwako, wala haiko mbali.+ 12 Haiko mbinguni, hata useme, ‘Ni nani atakayepanda kwa ajili yetu mpaka mbinguni ailete kwetu, atuwezeshe kuisikia ili tuifanye?’+ 13 Wala haiko ule upande mwingine wa bahari, hata useme, ‘Ni nani atakayevuka kwa ajili yetu mpaka ule upande mwingine wa bahari ailete kwetu, atuwezeshe kuisikia ili tuifanye?’ 14 Kwa maana neno hilo liko karibu sana nawe, katika kinywa chako mwenyewe na katika moyo wako mwenyewe,+ ili ulifanye.+

15 “Tazama, naweka mbele yako leo uzima na mema, na kifo na mabaya.+ 16 Ikiwa utazisikiliza amri za Yehova Mungu wako, ninazokuamuru leo, ili kumpenda Yehova Mungu wako,+ kutembea katika njia zake na kushika amri+ zake na kanuni zake na maamuzi yake ya hukumu,+ ndipo hakika utakapoendelea kuwa hai+ na kuongezeka, na Yehova Mungu wako atakubariki katika nchi unayoenda kuimiliki.+

17 “Lakini moyo wako ukigeukia mbali nawe usisikilize,+ na hakika ushawishiwe na kuinamia miungu mingine na kuitumikia,+ 18 nawaambia ninyi leo kwamba hakika mtaangamia.+ Hamtarefusha siku zenu katika nchi mnayovuka Yordani ili kuimiliki. 19 Nachukua mbingu na dunia kuwa mashahidi juu yenu leo,+ kwamba nimeweka uzima na kifo mbele yako,+ baraka+ na laana;+ nawe lazima uchague uzima ili uendelee kuwa hai,+ wewe na uzao wako,+ 20 kwa kumpenda Yehova Mungu wako,+ kwa kuisikiliza sauti yake na kwa kushikamana naye;+ kwa maana yeye ni uhai wako na urefu wa siku zako,+ ili ukae katika nchi ambayo Yehova aliwaapia mababu zako Abrahamu, Isaka na Yakobo kwamba atawapa wao.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki