Methali 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yeye anayeishika amri anailinda nafsi yake;+ anayedharau njia zake atauawa.+ 1 Wakorintho 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kutahiriwa+ hakumaanishi kitu, na kutotahiriwa+ hakumaanishi kitu, lakini kushika amri za Mungu kuna maana.+
19 Kutahiriwa+ hakumaanishi kitu, na kutotahiriwa+ hakumaanishi kitu, lakini kushika amri za Mungu kuna maana.+