Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 7
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho 7:1

Marejeo

  • +Mwa 20:6; Kum 22:28; Met 6:29

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1996, kur. 10-11

    Amkeni!,

    5/22/1996, uku. 7

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 10/15 10-11; g96 5/22 7

1 Wakorintho 7:2

Marejeo

  • +Yer 5:7; 1Th 4:3
  • +Mwa 2:24; Met 5:19; Ebr 13:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furaha ya Familia, kur. 156-157

    Amkeni!,

    11/8/1991, uku. 23

  • Fahirishi ya Machapisho

    fy 156-157

1 Wakorintho 7:3

Marejeo

  • +Kut 21:10; 1Ko 7:5
  • +Ho. 3:3; 1Pe 3:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2011, uku. 17

    10/15/1996, uku. 16

    5/15/1989, kur. 19-20

    Furaha ya Familia, uku. 157

    Kuishi Milele, uku. 244

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 10/15 17; w96 10/15 16; fy 157

1 Wakorintho 7:4

Marejeo

  • +Efe 5:24
  • +Efe 5:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1996, uku. 16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 10/15 16

1 Wakorintho 7:5

Marejeo

  • +Mwa 4:1; 1Sa 1:19; Mt 1:25; Ebr 13:4
  • +Kut 19:15
  • +2Ko 2:11; 1Th 3:5
  • +1Ko 9:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 139

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2015, uku. 27

    10/15/2011, uku. 17

    10/15/1996, uku. 16

    5/15/1989, kur. 19-20

    Furaha ya Familia, kur. 157-158

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 10/15 17; w96 10/15 16; fy 157-158

1 Wakorintho 7:6

Marejeo

  • +Mt 19:8
  • +1Ko 7:25; 2Ko 8:8

1 Wakorintho 7:7

Marejeo

  • +1Ko 9:5
  • +Mt 19:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1996, uku. 11

    Amkeni!,

    2/8/1995, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 10/15 11

1 Wakorintho 7:8

Marejeo

  • +1Ko 7:27
  • +1Ko 9:5

1 Wakorintho 7:9

Marejeo

  • +1Th 4:4; 1Ti 5:11
  • +1Ti 5:14
  • +1Th 4:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1989, kur. 13-14

1 Wakorintho 7:10

Marejeo

  • +Mt 5:32
  • +Yer 3:20; Mt 19:6; Mk 10:11; Lu 16:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2018, kur. 13-14

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2000, uku. 28

    11/1/1988, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 12/15 28

1 Wakorintho 7:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2018, kur. 13-14

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2012, uku. 11

    12/15/2000, uku. 28

    11/1/1988, kur. 21, 27

    Amkeni!,

    9/22/2002, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 5/15 11; g02 9/22 30; w00 12/15 28

1 Wakorintho 7:12

Marejeo

  • +1Ko 7:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1996, kur. 21-22

    Kutoa Sababu, uku. 229

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 229; w96 10/15 21-22

1 Wakorintho 7:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2018, uku. 14

1 Wakorintho 7:14

Marejeo

  • +Efe 6:1
  • +Ro 11:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2016, uku. 16

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2006, kur. 26-28

    4/15/1987, kur. 12-13

    Amani na Usalama, uku. 174

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 7/1 26, 28

1 Wakorintho 7:15

Marejeo

  • +Mal 2:15
  • +Ebr 12:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2016, kur. 16-17

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2012, kur. 11-12

    12/15/2000, uku. 28

    11/1/1988, kur. 21-22, 26-30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 5/15 11-12; w00 12/15 28

1 Wakorintho 7:16

Marejeo

  • +1Pe 3:1
  • +Yak 5:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1995, kur. 10-11

    8/15/1990, uku. 23

1 Wakorintho 7:17

Marejeo

  • +Zb 143:10; Isa 46:11; 1Ko 12:18
  • +1Ko 7:7
  • +1Ko 9:14

1 Wakorintho 7:18

Marejeo

  • +Mdo 21:20
  • +Mdo 10:45; Gal 5:2
  • +Mdo 15:1, 24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1989, uku. 20

1 Wakorintho 7:19

Marejeo

  • +Ro 2:25
  • +Gal 6:15; Kol 3:11
  • +Mhu 12:13; Yer 7:23; Gal 5:6; 1Yo 5:3

1 Wakorintho 7:20

Marejeo

  • +Efe 4:1
  • +1Ko 7:17

1 Wakorintho 7:21

Marejeo

  • +Gal 3:28

1 Wakorintho 7:22

Marejeo

  • +Yoh 8:36; Flm 16
  • +Efe 6:8
  • +1Pe 2:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, uku. 2025

1 Wakorintho 7:23

Marejeo

  • +1Ko 6:20; Ebr 9:12; 1Pe 1:18
  • +Gal 4:9; 5:1

1 Wakorintho 7:24

Marejeo

  • +1Ko 7:26

1 Wakorintho 7:25

Marejeo

  • +1Ko 7:12
  • +1Ti 1:16
  • +1Ti 1:12

1 Wakorintho 7:26

Marejeo

  • +1Ko 7:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1996, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 10/15 11

1 Wakorintho 7:27

Marejeo

  • +Mt 19:6
  • +Mal 2:16; Efe 5:33

1 Wakorintho 7:28

Marejeo

  • +Ebr 13:4
  • +Mwa 3:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 184

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    7/2020, uku. 3

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2017, kur. 4-6

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2015, kur. 18-19

    10/15/2011, kur. 15-16

    4/15/2008, uku. 20

    5/1/2007, uku. 19

    9/15/2006, kur. 28-29

    2/15/1999, uku. 4

    10/15/1996, uku. 19

    6/15/1995, uku. 30

    3/1/1988, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 10/15 15-16; w08 4/15 20; w07 5/1 19; w06 9/15 28-29; w99 2/15 4; w96 10/15 19

1 Wakorintho 7:29

Marejeo

  • +Mt 24:33; Ro 13:11; 1Pe 4:7
  • +Lu 14:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2016, uku. 17

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2008, uku. 27

    7/15/2000, kur. 30-31

    10/1/1999, uku. 9

    10/15/1996, uku. 19

    5/15/1992, kur. 19-20

    3/1/1988, kur. 20-21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 7/15 27; w00 7/15 30-31; w99 10/1 9; w96 10/15 19

1 Wakorintho 7:31

Marejeo

  • +1Yo 2:16
  • +2Ti 3:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2016, uku. 17

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2015, uku. 20

    11/15/2011, uku. 19

    11/15/2010, uku. 24

    1/15/2008, kur. 17-19

    10/1/2007, uku. 19

    2/1/2004, kur. 18-19

    2/1/2003, uku. 6

    10/15/1996, uku. 19

    7/1/1986, uku. 15

    Amkeni!,

    2/8/2001, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 11/15 19; w10 11/15 24; w08 1/15 17-19; w07 10/1 19; w04 2/1 18-19; w03 2/1 6; g01 2/8 11; w96 10/15 19

1 Wakorintho 7:32

Marejeo

  • +Lu 10:41

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 42

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1996, kur. 12-14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 10/15 12-14

1 Wakorintho 7:33

Marejeo

  • +Lu 14:20; 1Ti 5:8
  • +1Ko 7:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 42

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2008, uku. 27

    10/15/1996, uku. 16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 7/15 27; w96 10/15 16

1 Wakorintho 7:34

Marejeo

  • +Lu 10:42; 1Ti 5:5
  • +Met 31:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2008, uku. 27

    10/15/1996, kur. 16-17

    11/15/1987, kur. 12-13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 7/15 27; w96 10/15 16-17

1 Wakorintho 7:35

Marejeo

  • +1Ko 6:12
  • +Lu 10:40

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1996, kur. 12-14

    6/15/1995, kur. 29-30

    5/15/1992, uku. 18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 10/15 12-14

1 Wakorintho 7:36

Marejeo

  • +Mt 19:12
  • +1Ko 7:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 42

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2000, uku. 31

    2/15/1999, uku. 5

    10/15/1996, uku. 14

    5/15/1992, uku. 14

    11/15/1987, kur. 13-14

    Furaha ya Familia, kur. 15-16

    Amkeni!,

    7/22/1994, kur. 24-25

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 7/15 31; w99 2/15 5; w96 10/15 14; fy 15-16

1 Wakorintho 7:37

Marejeo

  • +Mt 19:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2011, uku. 17

    11/15/1987, kur. 13-14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 10/15 17

1 Wakorintho 7:38

Marejeo

  • +Ebr 13:4
  • +1Ko 7:32

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 42

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2012, uku. 20

    10/15/2011, uku. 17

    6/15/1995, kur. 29-30

    5/15/1992, uku. 18

    11/15/1987, kur. 10-15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 11/15 20; w11 10/15 17

1 Wakorintho 7:39

Marejeo

  • +Ro 7:2
  • +Mwa 24:3; Kum 7:3, 4; Ne 13:25; 2Ko 6:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    9/2022, uku. 4

    Furahia Maisha Milele!, somo la 42

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, kur. 134-135

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2015, kur. 30-32

    1/15/2015, kur. 31-32

    10/15/2011, uku. 15

    3/15/2008, uku. 8

    7/1/2004, kur. 30-31

    8/15/2001, uku. 30

    5/15/2001, kur. 20-21

    11/1/1989, kur. 18-22

    9/15/1989, uku. 24

    6/1/1989, kur. 13-14

    1/15/1989, uku. 22

    11/1/1988, kur. 15-16

    6/1/1987, uku. 30

    12/15/1986, uku. 30

    11/15/1986, kur. 26-30

    Amkeni!,

    10/8/1999, uku. 19

    8/8/1999, kur. 18-20

    1/22/1998, uku. 20

    “Kila Andiko,” uku. 18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 10/15 15; w08 3/15 8; w04 7/1 30-31; w01 5/15 20-21; w01 8/15 30; g99 8/8 18-20; g99 10/8 19; g98 1/22 20

1 Wakorintho 7:40

Marejeo

  • +1Ko 7:26
  • +1Th 4:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/1997, uku. 6

    11/15/1987, kur. 15-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 6/15 6

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 7:1Mwa 20:6; Kum 22:28; Met 6:29
1 Kor. 7:2Yer 5:7; 1Th 4:3
1 Kor. 7:2Mwa 2:24; Met 5:19; Ebr 13:4
1 Kor. 7:3Kut 21:10; 1Ko 7:5
1 Kor. 7:3Ho. 3:3; 1Pe 3:7
1 Kor. 7:4Efe 5:24
1 Kor. 7:4Efe 5:21
1 Kor. 7:5Mwa 4:1; 1Sa 1:19; Mt 1:25; Ebr 13:4
1 Kor. 7:5Kut 19:15
1 Kor. 7:52Ko 2:11; 1Th 3:5
1 Kor. 7:51Ko 9:25
1 Kor. 7:6Mt 19:8
1 Kor. 7:61Ko 7:25; 2Ko 8:8
1 Kor. 7:71Ko 9:5
1 Kor. 7:7Mt 19:11
1 Kor. 7:81Ko 7:27
1 Kor. 7:81Ko 9:5
1 Kor. 7:91Th 4:4; 1Ti 5:11
1 Kor. 7:91Ti 5:14
1 Kor. 7:91Th 4:5
1 Kor. 7:10Mt 5:32
1 Kor. 7:10Yer 3:20; Mt 19:6; Mk 10:11; Lu 16:18
1 Kor. 7:121Ko 7:25
1 Kor. 7:14Efe 6:1
1 Kor. 7:14Ro 11:16
1 Kor. 7:15Mal 2:15
1 Kor. 7:15Ebr 12:14
1 Kor. 7:161Pe 3:1
1 Kor. 7:16Yak 5:20
1 Kor. 7:17Zb 143:10; Isa 46:11; 1Ko 12:18
1 Kor. 7:171Ko 7:7
1 Kor. 7:171Ko 9:14
1 Kor. 7:18Mdo 21:20
1 Kor. 7:18Mdo 10:45; Gal 5:2
1 Kor. 7:18Mdo 15:1, 24
1 Kor. 7:19Ro 2:25
1 Kor. 7:19Gal 6:15; Kol 3:11
1 Kor. 7:19Mhu 12:13; Yer 7:23; Gal 5:6; 1Yo 5:3
1 Kor. 7:20Efe 4:1
1 Kor. 7:201Ko 7:17
1 Kor. 7:21Gal 3:28
1 Kor. 7:22Yoh 8:36; Flm 16
1 Kor. 7:22Efe 6:8
1 Kor. 7:221Pe 2:16
1 Kor. 7:231Ko 6:20; Ebr 9:12; 1Pe 1:18
1 Kor. 7:23Gal 4:9; 5:1
1 Kor. 7:241Ko 7:26
1 Kor. 7:251Ko 7:12
1 Kor. 7:251Ti 1:16
1 Kor. 7:251Ti 1:12
1 Kor. 7:261Ko 7:17
1 Kor. 7:27Mt 19:6
1 Kor. 7:27Mal 2:16; Efe 5:33
1 Kor. 7:28Ebr 13:4
1 Kor. 7:28Mwa 3:16
1 Kor. 7:29Mt 24:33; Ro 13:11; 1Pe 4:7
1 Kor. 7:29Lu 14:26
1 Kor. 7:311Yo 2:16
1 Kor. 7:312Ti 3:13
1 Kor. 7:32Lu 10:41
1 Kor. 7:33Lu 14:20; 1Ti 5:8
1 Kor. 7:331Ko 7:4
1 Kor. 7:34Lu 10:42; 1Ti 5:5
1 Kor. 7:34Met 31:12
1 Kor. 7:351Ko 6:12
1 Kor. 7:35Lu 10:40
1 Kor. 7:36Mt 19:12
1 Kor. 7:361Ko 7:28
1 Kor. 7:37Mt 19:11
1 Kor. 7:38Ebr 13:4
1 Kor. 7:381Ko 7:32
1 Kor. 7:39Ro 7:2
1 Kor. 7:39Mwa 24:3; Kum 7:3, 4; Ne 13:25; 2Ko 6:14
1 Kor. 7:401Ko 7:26
1 Kor. 7:401Th 4:8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 7:1-40

1 Wakorintho

7 Basi kuhusu mambo ambayo mliandika habari zake, ni vema mwanamume asimguse+ mwanamke; 2 lakini, kwa sababu ya kuenea kwa uasherati,+ kila mwanamume na awe na mke+ wake mwenyewe na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe. 3 Mume na ampe mke wake haki+ yake; lakini mke pia na amfanyie vivyo hivyo mume wake.+ 4 Mke hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali mume wake anayo;+ vivyo hivyo, pia, mume hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali mke wake anayo.+ 5 Msiwe mkinyimana haki hiyo,+ ila kwa makubaliano kwa wakati uliowekwa,+ ili mtenge wakati kwa ajili ya sala na mje pamoja tena, ili Shetani asiendelee kuwajaribu+ kwa sababu ya ninyi kukosa kujizuia.+ 6 Hata hivyo, nasema hilo kwa njia ya kutoa ruhusa,+ si kwa njia ya amri.+ 7 Lakini ningalipenda watu wote wawe kama mimi mwenyewe nilivyo.+ Hata hivyo, kila mmoja ana zawadi+ yake mwenyewe kutoka kwa Mungu, mmoja kwa njia hii, mwingine kwa njia ile.

8 Sasa nawaambia waseja+ na wajane, ni vema kwao wabaki kama mimi nilivyo.+ 9 Lakini ikiwa hawawezi kujizuia,+ acheni wafunge ndoa,+ kwa maana ni bora kufunga ndoa kuliko kuwaka tamaa.+

10 Kwa watu waliofunga ndoa natoa maagizo, lakini si mimi bali ni Bwana,+ kwamba mke hapaswi kuondoka kwa mume wake;+ 11 lakini kwa kweli akiondoka, na akae mseja kama sivyo apatane tena na mume wake; na mume hapaswi kumwacha mke wake.

12 Lakini kwa wale wengine nawaaambia, ndiyo, mimi, si Bwana:+ Ikiwa ndugu yeyote ana mke asiyeamini, na bado mke huyo anakubali kukaa pamoja naye, basi asimwache; 13 na mwanamke aliye na mume asiyeamini, na bado mume huyo anakubali kukaa pamoja naye, basi asimwache mume wake. 14 Kwa maana mume asiyeamini hutakaswa kuhusiana na mke wake, na mke asiyeamini hutakaswa kuhusiana na huyo ndugu; kama sivyo, watoto wenu kwa kweli hawangekuwa safi,+ lakini sasa wao ni watakatifu.+ 15 Lakini yule asiyeamini akiondoka, acha aondoke;+ ndugu au dada hayumo katika utumwa chini ya hali za namna hiyo, lakini Mungu amewaita ninyi kwenye amani.+ 16 Kwa maana, wewe mke, unajuaje kama utamwokoa mume wako?+ Au, wewe mume, unajuaje kama utamwokoa mke wako?+

17 Isipokuwa, kama Yehova alivyompa kila mmoja fungu,+ kila mmoja na ajiendeshe kama Mungu alivyomwita.+ Na ndivyo ninavyoagiza+ katika makutaniko yote. 18 Je, mtu yeyote aliitwa akiwa ametahiriwa?+ Acheni asiwe asiyetahiriwa. Je, mtu yeyote ameitwa akiwa katika kutotahiriwa?+ Acheni asitahiriwe.+ 19 Kutahiriwa+ hakumaanishi kitu, na kutotahiriwa+ hakumaanishi kitu, lakini kushika amri za Mungu kuna maana.+ 20 Katika hali yoyote ile ambayo kila mmoja aliitwa,+ acheni abaki katika hiyo.+ 21 Je, uliitwa ukiwa mtumwa? Usiache hilo likutie wasiwasi;+ lakini ikiwa unaweza pia kuwa huru, afadhali utwae nafasi hiyo. 22 Kwa maana yeyote katika Bwana aliyeitwa akiwa mtumwa ni mtu aliyewekwa huru wa Bwana;+ vivyo hivyo yeye aliyeitwa akiwa mtu aliye huru+ ni mtumwa+ wa Kristo. 23 Mlinunuliwa kwa bei;+ acheni kuwa watumwa+ wa wanadamu. 24 Katika hali+ yoyote ile ambayo kila mmoja aliitwa, akina ndugu, acheni abaki katika hali hiyo akishirikiana na Mungu.

25 Sasa kuhusu mabikira sina amri kutoka kwa Bwana, lakini natoa maoni+ yangu nikiwa mtu aliyeonyeshwa rehema na Bwana+ kuwa mwaminifu.+ 26 Kwa hiyo naona hili kuwa ni jema kwa sababu ya uhitaji uliopo pamoja nasi, kwamba ni vema kwa mtu kuendelea kama alivyo.+ 27 Je, umefungwa kwa mke?+ Uache kutafuta kufunguliwa.+ Je, umefunguliwa kutoka kwa mke? Uache kutafuta mke. 28 Lakini hata kama ukifunga ndoa, hutakuwa ukifanya dhambi.+ Na kama bikira akifunga ndoa, mtu huyo hatakuwa akifanya dhambi. Hata hivyo, wale wanaofanya hivyo watakuwa na dhiki katika mwili wao.+ Lakini mimi ninawaepusha ninyi.

29 Zaidi ya hayo, nasema hili, akina ndugu, wakati uliobaki umepungua.+ Tangu sasa wale walio na wake na wawe kana kwamba hawana,+ 30 na pia wale wanaolia wawe kama wale wasiolia, na wale wanaoshangilia wawe kama wale wasioshangilia, na wale wanaonunua wawe kama wale wasio na kitu, 31 na wale wanaoutumia ulimwengu+ wawe kama wale wasioutumia kwa ukamili; kwa maana tamasha ya ulimwengu huu inabadilika.+ 32 Kwa kweli, nataka ninyi msiwe na mahangaiko.+ Mwanamume ambaye hajaoa huhangaikia mambo ya Bwana, jinsi anavyoweza kupata kibali cha Bwana. 33 Lakini mwanamume aliyeoa huhangaikia+ mambo ya ulimwengu, jinsi anavyoweza kupata kibali cha mke wake,+ 34 naye amegawanyika. Zaidi ya hayo, mwanamke mseja, na bikira, huhangaikia mambo ya Bwana,+ ili awe mtakatifu katika mwili wake na pia katika roho yake. Hata hivyo, mwanamke aliyeolewa huhangaikia mambo ya ulimwengu, jinsi anavyoweza kupata kibali cha mume wake.+ 35 Lakini nasema jambo hili kwa faida yenu ya kibinafsi, si ili niwategee mtego, bali ili niwasukume ninyi kwenye lile linalofaa+ na lile linalomaanisha kumhudumia Bwana daima bila kukengeushwa fikira.+

36 Lakini kama yeyote akiona kwamba anajiendesha isivyofaa kuelekea ubikira+ wake, ikiwa huo umepita upeo wa ujana, na hivyo ndivyo inavyopaswa kutendeka, acheni afanye lile analotaka; hafanyi dhambi. Acheni afunge ndoa.+ 37 Lakini ikiwa yeyote ametulia katika moyo wake, akiwa hana uhitaji wowote, lakini ana mamlaka juu ya nia yake mwenyewe naye amefanya uamuzi huu katika moyo wake mwenyewe, kutunza ubikira wake mwenyewe, yeye atafanya vema.+ 38 Kwa hiyo yeye pia anayeufungisha ndoa ubikira wake anafanya vema,+ lakini yeye asiyeufungisha ndoa atafanya vema zaidi.+

39 Mke amefungwa wakati wote ambao mume wake yuko hai.+ Lakini mume wake akilala usingizi katika kifo, yeye yuko huru kuolewa na yeyote anayemtaka, katika Bwana tu.+ 40 Lakini mwanamke huyo ni mwenye furaha zaidi akibaki kama alivyo,+ kwa maoni yangu. Hakika nafikiri mimi pia nina roho ya Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki