Mwanzo 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hiyo ndiyo sababu mwanamume atamwacha baba yake na mama yake+ naye atashikamana na mke wake nao watakuwa mwili mmoja.+ Methali 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 paa mwenye kupendeka na mbuzi wa milimani mwenye kuvutia.+ Na maziwa yake yakuleweshe nyakati zote.+ Upendo wake na ukufurahishe sikuzote.+ Waebrania 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+
24 Hiyo ndiyo sababu mwanamume atamwacha baba yake na mama yake+ naye atashikamana na mke wake nao watakuwa mwili mmoja.+
19 paa mwenye kupendeka na mbuzi wa milimani mwenye kuvutia.+ Na maziwa yake yakuleweshe nyakati zote.+ Upendo wake na ukufurahishe sikuzote.+
4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+