Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 6:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Yeyote anayefanya uzinzi na mwanamke amepungukiwa moyoni;+ yule anayefanya hivyo anaiangamiza nafsi yake mwenyewe.+

  • 1 Wakorintho 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Katika barua yangu niliwaandikia ninyi mwache kuchangamana katika ushirika na waasherati,

  • 1 Wakorintho 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwani! Je, hamjui kwamba watu wasio waadilifu hawataurithi ufalme wa Mungu?+ Msipotoshwe. Wala waasherati,+ wala waabudu-sanamu,+ wala wazinzi,+ wala wanaume wanaowekwa kwa ajili ya makusudi yasiyo ya asili,+ wala wanaume wanaolala na wanaume,+

  • 1 Wakorintho 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ukimbieni uasherati.+ Kila dhambi nyingine ambayo mtu huenda akafanya iko nje ya mwili wake, lakini yeye aliye na mazoea ya kufanya uasherati anautendea dhambi mwili+ wake mwenyewe.

  • Wagalatia 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 husuda, vipindi vya kulewa,+ karamu za kupindukia, na mambo kama hayo. Kuhusu mambo hayo mimi ninawaonya ninyi kimbele, kama vile nilivyowaonya kimbele, kwamba wale walio na mazoea ya kufanya+ mambo ya namna hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki