-
Wagalatia 5:21Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
21 husuda, vipindi vya kulewa, sherehe zenye kelele za ulevi na ulafi, na mambo kama haya. Kuhusu mambo hayo mimi ninawaonya nyinyi kimbele, jinsi ileile kama nilivyowaonya kimbele, kwamba wale wazoeao kufanya mambo ya namna hiyo hawatarithi ufalme wa Mungu.
-