Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho 6:1

Marejeo

  • +Mt 18:15
  • +Mdo 18:17
  • +1Ko 5:3; Tit 1:9; Ebr 13:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1995, uku. 30

    11/1/1988, kur. 22-23

1 Wakorintho 6:2

Marejeo

  • +Lu 22:30; Ufu 20:4
  • +2Pe 3:7
  • +1Ko 4:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, kur. 137, 222

1 Wakorintho 6:3

Marejeo

  • +Ro 16:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 1133

    Ufahamu, kur. 211, 222

1 Wakorintho 6:4

Marejeo

  • +Mt 18:17
  • +Met 29:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1995, uku. 20

1 Wakorintho 6:5

Marejeo

  • +1Ko 15:34
  • +Kum 1:13; 1Ti 3:2

1 Wakorintho 6:6

Marejeo

  • +2Ko 6:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1988, kur. 22-23

1 Wakorintho 6:7

Marejeo

  • +2Nya 19:8; Lu 12:13
  • +Met 20:22; Mt 5:39; Ro 12:17; 1Th 5:15; 1Pe 3:9
  • +Zb 146:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2002, uku. 6

    3/15/1997, kur. 21-22

    3/15/1996, uku. 15

    5/1/1995, uku. 30

    9/15/1988, kur. 29-30

    11/15/1986, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w02 11/1 6; w97 3/15 21-22; w96 3/15 15

1 Wakorintho 6:8

Marejeo

  • +1Th 4:6

1 Wakorintho 6:9

Marejeo

  • +Efe 5:5; Ufu 22:15
  • +Ufu 21:8
  • +Kol 3:5
  • +Ebr 13:4
  • +Ro 1:27
  • +1Ti 1:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 31

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/2008, kur. 21-22

    Amkeni!,

    2/22/1995, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 5/1 21-22

1 Wakorintho 6:10

Marejeo

  • +1Ko 5:11
  • +Kum 21:20; Met 23:20; 1Pe 4:3
  • +Ebr 12:14; 1Pe 4:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 31

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/2008, kur. 21-22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 5/1 21-22

1 Wakorintho 6:11

Marejeo

  • +Kol 3:7; Tit 3:3
  • +Yoh 13:10; Mdo 22:16; Ebr 10:22
  • +Efe 5:26; 2Th 2:13
  • +Ro 5:18
  • +1Yo 2:12
  • +Ro 8:33

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 31

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    6/15/2010, kur. 9-10

    4/15/2010, uku. 9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 4/15 9; w10 6/15 9-10

1 Wakorintho 6:12

Marejeo

  • +1Ko 10:23
  • +Ro 6:14
  • +Ro 6:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Neno la Mungu, uku. 166

1 Wakorintho 6:13

Marejeo

  • +Tit 1:12
  • +Ro 14:17
  • +1Th 4:3
  • +Kol 1:18; 1Th 5:23

1 Wakorintho 6:14

Marejeo

  • +Mdo 2:24; Ro 6:4; Efe 1:20
  • +Ro 6:5; 8:11; 2Ko 4:14
  • +Efe 1:19

1 Wakorintho 6:15

Marejeo

  • +1Ko 12:18, 27; Efe 5:30
  • +Ro 12:5; Efe 4:15
  • +Yak 4:4

1 Wakorintho 6:16

Marejeo

  • +Mwa 2:24; Mt 19:5; Efe 5:31

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

1 Wakorintho 6:17

Marejeo

  • +Efe 4:3, 4
  • +Yoh 17:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

1 Wakorintho 6:18

Marejeo

  • +Mwa 39:12; 1Th 4:3
  • +Ro 1:24, 27; 6:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 41

    Amkeni!,

    9/2013, uku. 5

    10/2009, uku. 29

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2008, uku. 27

    6/15/2008, uku. 10

    2/15/2004, kur. 12-14

    9/1/1999, kur. 12-13

    4/15/1993, kur. 16-17

    Kutoa Sababu, uku. 333

  • Fahirishi ya Machapisho

    g 10/09 29; w08 6/15 10; w08 7/15 27; w04 2/15 12-14; rs 333; w99 9/1 12-13

1 Wakorintho 6:19

Marejeo

  • +1Ko 3:16; 2Ko 6:16
  • +1Th 4:8
  • +Ro 14:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

1 Wakorintho 6:20

Marejeo

  • +1Ko 7:23; Ebr 9:12; 1Pe 1:18
  • +Mt 5:16
  • +Ro 12:1; 1Ko 12:27; Efe 4:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    3/15/2005, kur. 15-20

    2/15/1991, kur. 15-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 3/15 15-20

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 6:1Mt 18:15
1 Kor. 6:1Mdo 18:17
1 Kor. 6:11Ko 5:3; Tit 1:9; Ebr 13:17
1 Kor. 6:2Lu 22:30; Ufu 20:4
1 Kor. 6:22Pe 3:7
1 Kor. 6:21Ko 4:3
1 Kor. 6:3Ro 16:20
1 Kor. 6:4Mt 18:17
1 Kor. 6:4Met 29:27
1 Kor. 6:51Ko 15:34
1 Kor. 6:5Kum 1:13; 1Ti 3:2
1 Kor. 6:62Ko 6:15
1 Kor. 6:72Nya 19:8; Lu 12:13
1 Kor. 6:7Met 20:22; Mt 5:39; Ro 12:17; 1Th 5:15; 1Pe 3:9
1 Kor. 6:7Zb 146:7
1 Kor. 6:81Th 4:6
1 Kor. 6:9Efe 5:5; Ufu 22:15
1 Kor. 6:9Ufu 21:8
1 Kor. 6:9Kol 3:5
1 Kor. 6:9Ebr 13:4
1 Kor. 6:9Ro 1:27
1 Kor. 6:91Ti 1:10
1 Kor. 6:101Ko 5:11
1 Kor. 6:10Kum 21:20; Met 23:20; 1Pe 4:3
1 Kor. 6:10Ebr 12:14; 1Pe 4:18
1 Kor. 6:11Kol 3:7; Tit 3:3
1 Kor. 6:11Yoh 13:10; Mdo 22:16; Ebr 10:22
1 Kor. 6:11Efe 5:26; 2Th 2:13
1 Kor. 6:11Ro 5:18
1 Kor. 6:111Yo 2:12
1 Kor. 6:11Ro 8:33
1 Kor. 6:121Ko 10:23
1 Kor. 6:12Ro 6:14
1 Kor. 6:12Ro 6:16
1 Kor. 6:13Tit 1:12
1 Kor. 6:13Ro 14:17
1 Kor. 6:131Th 4:3
1 Kor. 6:13Kol 1:18; 1Th 5:23
1 Kor. 6:14Mdo 2:24; Ro 6:4; Efe 1:20
1 Kor. 6:14Ro 6:5; 8:11; 2Ko 4:14
1 Kor. 6:14Efe 1:19
1 Kor. 6:151Ko 12:18, 27; Efe 5:30
1 Kor. 6:15Ro 12:5; Efe 4:15
1 Kor. 6:15Yak 4:4
1 Kor. 6:16Mwa 2:24; Mt 19:5; Efe 5:31
1 Kor. 6:17Efe 4:3, 4
1 Kor. 6:17Yoh 17:21
1 Kor. 6:18Mwa 39:12; 1Th 4:3
1 Kor. 6:18Ro 1:24, 27; 6:12
1 Kor. 6:191Ko 3:16; 2Ko 6:16
1 Kor. 6:191Th 4:8
1 Kor. 6:19Ro 14:8
1 Kor. 6:201Ko 7:23; Ebr 9:12; 1Pe 1:18
1 Kor. 6:20Mt 5:16
1 Kor. 6:20Ro 12:1; 1Ko 12:27; Efe 4:12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 6:1-20

1 Wakorintho

6 Je, yeyote kati yenu aliye na kesi+ juu ya mwingine anathubutu kwenda mahakamani mbele ya watu wasio waadilifu,+ na si mbele ya watakatifu?+ 2 Au je, hamjui kwamba watakatifu watauhukumu+ ulimwengu?+ Na ikiwa ninyi mtauhukumu ulimwengu, je, hamstahili kuamua mambo yaliyo madogo sana?+ 3 Je, hamjui kwamba tutawahukumu malaika?+ Kwa nini, basi, isiwe mambo ya maisha haya? 4 Basi, ikiwa ninyi mna mambo ya maisha haya ya kuamuliwa,+ je, mnawaweka kuwa waamuzi wale watu wanaodharauliwa na kutaniko?+ 5 Ninasema ili kuwatia ninyi aibu.+ Je, ni kweli kwamba hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima+ kati yenu atakayeweza kuhukumu kati ya ndugu zake, 6 bali ndugu anaenda mahakamani pamoja na ndugu, na tena mbele ya wasio waamini?+

7 Basi, kwa kweli, inamaanisha kushindwa kwenu kabisa kwamba mnakuwa na mashtaka ya kisheria+ mtu na mwenzake. Kwa nini msiache mkosewe+ badala ya hivyo? Kwa nini msiache mpunjwe+ badala ya hivyo? 8 Kinyume cha hilo, mnawakosea na kuwapunja, tena ndugu zenu.+

9 Kwani! Je, hamjui kwamba watu wasio waadilifu hawataurithi ufalme wa Mungu?+ Msipotoshwe. Wala waasherati,+ wala waabudu-sanamu,+ wala wazinzi,+ wala wanaume wanaowekwa kwa ajili ya makusudi yasiyo ya asili,+ wala wanaume wanaolala na wanaume,+ 10 wala wezi, wala watu wenye pupa,+ wala walevi,+ wala watukanaji, wala wanyang’anyi hawataurithi ufalme wa Mungu.+ 11 Na bado wengine wenu mlikuwa hivyo.+ Lakini mmeoshwa mkawa safi,+ lakini mmetakaswa,+ lakini mmetangazwa kuwa waadilifu+ katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo+ na kwa roho ya Mungu wetu.+

12 Mambo yote ni halali kwangu; lakini si mambo yote yenye faida.+ Mambo yote ni halali+ kwangu; lakini mimi sitaruhusu kitu chochote kinitawale.+ 13 Vyakula kwa ajili ya tumbo, na tumbo kwa ajili ya vyakula;+ lakini Mungu atafanya hilo na pia hivyo viwe si kitu.+ Basi mwili si kwa ajili ya uasherati, bali kwa ajili ya Bwana;+ na Bwana ni kwa ajili ya mwili.+ 14 Lakini Mungu alimfufua Bwana+ na pia atatufufua sisi kutoka kwenye kifo+ kupitia nguvu zake.+

15 Je, hamjui kwamba miili yenu ni viungo+ vya Kristo?+ Basi, je, nitavichukua viungo vya Kristo na kuvifanya kuwa viungo vya kahaba?+ Hilo lisitendeke kamwe! 16 Kwani! Je, hamjui kwamba yeye ambaye ameungana na kahaba ni mwili mmoja naye? Kwa maana, “Hao wawili,” yeye asema, “watakuwa mwili mmoja.”+ 17 Lakini yeye ambaye ameungana na Bwana ni roho+ moja+ naye. 18 Ukimbieni uasherati.+ Kila dhambi nyingine ambayo mtu huenda akafanya iko nje ya mwili wake, lakini yeye aliye na mazoea ya kufanya uasherati anautendea dhambi mwili+ wake mwenyewe. 19 Kwani! Je, hamjui kwamba mwili wenu ni hekalu+ la roho takatifu ndani yenu,+ mliyo nayo kutoka kwa Mungu? Pia, ninyi si mali yenu wenyewe,+ 20 kwa maana mlinunuliwa kwa bei.+ Kwa vyovyote, mtukuzeni+ Mungu katika mwili+ wenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki