12 aliingia, si kwa damu ya mbuzi na ya ng’ombe-dume wachanga,+ bali kwa damu yake mwenyewe,+ mara moja kwa wakati wote ndani ya mahali patakatifu na kupata ukombozi wa milele kwa ajili yetu.+
18 Kwa maana mnajua kuwa si kwa vitu vyenye kuharibika,+ kwa fedha au dhahabu, kwamba mlikombolewa+ kutoka kwenye namna ya mwenendo wenu usiozaa matunda ambao ulipokewa kwa njia ya mapokeo kutoka kwa mababu zenu.