Wagalatia 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini sasa kwa kuwa mmemjua Mungu, au afadhali zaidi kwamba sasa Mungu amewajua ninyi,+ kwa nini mnarudi tena kwenye mambo ya msingi+ yaliyo dhaifu+ na yasiyo na maana na kutaka kuyatumikia kwa mara nyingine tena?+ Wagalatia 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kristo alituweka huru+ tuwe na uhuru wa namna hiyo. Kwa hiyo simameni imara,+ na msijiache wenyewe kufungwa tena katika nira ya utumwa.+
9 Lakini sasa kwa kuwa mmemjua Mungu, au afadhali zaidi kwamba sasa Mungu amewajua ninyi,+ kwa nini mnarudi tena kwenye mambo ya msingi+ yaliyo dhaifu+ na yasiyo na maana na kutaka kuyatumikia kwa mara nyingine tena?+
5 Kristo alituweka huru+ tuwe na uhuru wa namna hiyo. Kwa hiyo simameni imara,+ na msijiache wenyewe kufungwa tena katika nira ya utumwa.+