Waroma 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana, Sheria+ ikiwa haina uwezo, huku ilipokuwa dhaifu+ kupitia mwili, Mungu, kwa kumtuma Mwana+ wake mwenyewe akiwa katika mfano wa mwili+ wenye dhambi+ na kuhusu dhambi, aliihukumu dhambi katika mwili, Waebrania 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hakika, basi, ile amri iliyotangulia inawekwa kando kwa sababu ya udhaifu+ wake na kutofaa+ kwake.
3 Kwa maana, Sheria+ ikiwa haina uwezo, huku ilipokuwa dhaifu+ kupitia mwili, Mungu, kwa kumtuma Mwana+ wake mwenyewe akiwa katika mfano wa mwili+ wenye dhambi+ na kuhusu dhambi, aliihukumu dhambi katika mwili,
18 Hakika, basi, ile amri iliyotangulia inawekwa kando kwa sababu ya udhaifu+ wake na kutofaa+ kwake.