3 Kwa maana, Sheria+ ikiwa haina uwezo, huku ilipokuwa dhaifu+ kupitia mwili, Mungu, kwa kumtuma Mwana+ wake mwenyewe akiwa katika mfano wa mwili+ wenye dhambi+ na kuhusu dhambi, aliihukumu dhambi katika mwili,
9 Lakini sasa kwa kuwa mmemjua Mungu, au afadhali zaidi kwamba sasa Mungu amewajua ninyi,+ kwa nini mnarudi tena kwenye mambo ya msingi+ yaliyo dhaifu+ na yasiyo na maana na kutaka kuyatumikia kwa mara nyingine tena?+