Yohana 8:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 nanyi mtaijua kweli,+ nayo kweli itawaweka ninyi huru.”+ Waroma 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndiyo, kwa kuwa mliwekwa huru+ kutoka katika dhambi, mlikuja kuwa watumwa+ wa uadilifu.+