Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  45 Nami nitatembea huku na huku katika mahali penye nafasi tele,+

      Kwa maana nimeyatafuta maagizo yako.+

  • Luka 4:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Roho ya Yehova+ iko juu yangu, kwa sababu alinitia mafuta kuwatangazia maskini habari njema, alinituma kuhubiri kuachiliwa huru kwa mateka na kupata kuona tena kwa vipofu, kuacha waliopondeka waende zao wakiwa wameachiliwa huru,+

  • Waroma 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana dhambi haipaswi kuwa bwana juu yenu, kwa kuwa ninyi hamko chini ya sheria+ bali chini ya fadhili zisizostahiliwa.+

  • Waroma 6:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hata hivyo, sasa, kwa sababu mliwekwa huru kutoka katika dhambi lakini mkawa watumwa kwa Mungu,+ mnapata tunda+ lenu katika utakatifu, na mwisho ni uzima wa milele.+

  • Waebrania 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na ili awaweke huru+ wale wote ambao kwa kuogopa kifo+ walikuwa wametiishwa chini ya utumwa katika maisha yao yote.+

  • Yakobo 1:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini yeye anayechunguza ndani ya sheria kamilifu+ iliyo ya uhuru na ambaye hudumu katika hiyo, mtu huyo, kwa sababu amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi,+ atakuwa mwenye furaha+ katika kuitenda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki