18 “Roho ya Yehova+ iko juu yangu, kwa sababu alinitia mafuta kuwatangazia maskini habari njema, alinituma kuhubiri kuachiliwa huru kwa mateka na kupata kuona tena kwa vipofu, kuacha waliopondeka waende zao wakiwa wameachiliwa huru,+
22 Hata hivyo, sasa, kwa sababu mliwekwa huru kutoka katika dhambi lakini mkawa watumwa kwa Mungu,+ mnapata tunda+ lenu katika utakatifu, na mwisho ni uzima wa milele.+
25 Lakini yeye anayechunguza ndani ya sheria kamilifu+ iliyo ya uhuru na ambaye hudumu katika hiyo, mtu huyo, kwa sababu amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi,+ atakuwa mwenye furaha+ katika kuitenda.