Zaburi 89:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Ni mwanamume gani aliye hai ambaye hataona kifo?+Je, anaweza kuiokoa nafsi yake katika mkono wa Kaburi?*+ Sela. Isaya 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yeye kwa kweli atameza kifo milele,+ na Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hakika atafuta machozi katika nyuso zote.+ Na shutuma ya watu wake ataiondoa katika dunia yote,+ kwa maana Yehova mwenyewe amesema hayo. 1 Wakorintho 15:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni kifo.+
48 Ni mwanamume gani aliye hai ambaye hataona kifo?+Je, anaweza kuiokoa nafsi yake katika mkono wa Kaburi?*+ Sela.
8 Yeye kwa kweli atameza kifo milele,+ na Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hakika atafuta machozi katika nyuso zote.+ Na shutuma ya watu wake ataiondoa katika dunia yote,+ kwa maana Yehova mwenyewe amesema hayo.