Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 30:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana najua vema kwamba utanirudisha kwenye kifo,+

      Na kwenye nyumba ya kukutania ya kila mtu aliye hai.

  • Zaburi 49:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Hivi kwamba yeye aendelee kuishi milele na asilione shimo.+

  • Mhubiri 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana kuna mwisho ambao huwafikia wana wa binadamu na mwisho ambao huwafikia wanyama, nao hufikiwa na mwisho uleule.+ Anavyokufa mmoja, ndivyo anavyokufa yule mwingine;+ nao wote wana roho moja,+ hivi kwamba mwanadamu si bora kuliko mnyama, kwa kuwa yote ni ubatili.

  • Mhubiri 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+

  • Waebrania 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa imani Enoko+ alihamishwa ili asione kifo, naye hakupatikana popote kwa sababu Mungu alikuwa amemhamisha;+ kwa maana kabla ya kuhamishwa kwake alikuwa ametolewa ushahidi kwamba amempendeza Mungu vema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki