Ayubu 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini mwanamume hufa na kulala akiwa ameshindwa;Na mtu wa udongo hukata pumzi, naye yuko wapi?+ Zaburi 39:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tazama! Umezifanya siku zangu kuwa chache tu;+Na urefu wa maisha yangu si kitu mbele zako.+Kwa kweli kila mtu wa udongo, ingawa anasimama imara, si kitu ila pumzi tu.+ Sela. Zaburi 49:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na bado mtu wa udongo, ingawa katika heshima, hawezi kuendelea kukaa;+Kwa kweli analingana na wanyama ambao wameangamizwa.+
5 Tazama! Umezifanya siku zangu kuwa chache tu;+Na urefu wa maisha yangu si kitu mbele zako.+Kwa kweli kila mtu wa udongo, ingawa anasimama imara, si kitu ila pumzi tu.+ Sela.
12 Na bado mtu wa udongo, ingawa katika heshima, hawezi kuendelea kukaa;+Kwa kweli analingana na wanyama ambao wameangamizwa.+