Zaburi 39:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tazama! Umezifanya siku zangu kuwa chache tu;+Na urefu wa maisha yangu si kitu mbele zako.+Kwa kweli kila mtu wa udongo, ingawa anasimama imara, si kitu ila pumzi tu.+ Sela. Yakobo 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana jua huchomoza pamoja na joto lake lenye kuunguza na kuyanyausha majani, na ua lake huanguka na uzuri wa sura yake ya nje huharibika. Vivyo hivyo, pia, mtu tajiri atanyauka katika njia zake za maisha.+
5 Tazama! Umezifanya siku zangu kuwa chache tu;+Na urefu wa maisha yangu si kitu mbele zako.+Kwa kweli kila mtu wa udongo, ingawa anasimama imara, si kitu ila pumzi tu.+ Sela.
11 Kwa maana jua huchomoza pamoja na joto lake lenye kuunguza na kuyanyausha majani, na ua lake huanguka na uzuri wa sura yake ya nje huharibika. Vivyo hivyo, pia, mtu tajiri atanyauka katika njia zake za maisha.+