Isaya 40:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Majani mabichi yamekauka, ua limenyauka,+ kwa sababu roho ya Yehova imepuliza juu yake.+ Hakika watu ni majani mabichi.+ Mathayo 19:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Tena ninawaambia ninyi, Ni rahisi zaidi ngamia kupita katika tundu la sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.”+
7 Majani mabichi yamekauka, ua limenyauka,+ kwa sababu roho ya Yehova imepuliza juu yake.+ Hakika watu ni majani mabichi.+
24 Tena ninawaambia ninyi, Ni rahisi zaidi ngamia kupita katika tundu la sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.”+