Zaburi 90:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Umewafagilia mbali;+ wanakuwa usingizi tu;+Asubuhi, wao ni kama majani mabichi ambayo hubadilika.+ Zaburi 103:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana upepo unapita juu yake, nalo halipo tena;+Napo mahali pake hapataendelea kulitambua tena.+ Zaburi 104:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ukiuficha uso wako, wanaingiwa na wasiwasi.+Ukiiondoa roho yao, wanakata pumzi,+Na kurudi katika mavumbi yao.+
16 Kwa maana upepo unapita juu yake, nalo halipo tena;+Napo mahali pake hapataendelea kulitambua tena.+
29 Ukiuficha uso wako, wanaingiwa na wasiwasi.+Ukiiondoa roho yao, wanakata pumzi,+Na kurudi katika mavumbi yao.+