Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ambaye mkononi mwake mna nafsi+ ya kila aliye hai

      Na roho ya mwili wote wa mwanadamu?+

  • Ayubu 34:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Akikaza moyo wake juu ya mtu yeyote,

      Akijikusanyia kwake roho na pumzi ya mtu huyo,+

  • Zaburi 146:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Roho yake hutoka,+ naye hurudi kwenye udongo wake;+

      Siku hiyo mawazo yake hupotea.+

  • Mhubiri 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hakuna mwanadamu aliye na nguvu juu ya roho ili kuizuia roho;+ wala hakuna nguvu zozote za kuzuia katika siku ya kifo;+ wala hakuna kuachiliwa katika vita.+ Wala uovu hautawaokoa wanaouzoea.+

  • Mhubiri 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha mavumbi huirudia nchi+ kama yalivyokuwa, nayo roho+ yenyewe humrudia Mungu+ wa kweli aliyeitoa.+

  • Isaya 42:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mungu wa kweli, Yehova, Muumba wa mbingu+ na Mkuu anayezitandaza;+ Yeye anayeitandaza dunia+ na mazao yake,+ Yeye anayewapa pumzi+ watu walio juu yake,+ na roho wale wanaotembea ndani yake, amesema hivi:+

  • Matendo 17:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 wala hatumikiwi kwa mikono ya binadamu kana kwamba anahitaji kitu chochote,+ kwa sababu yeye mwenyewe huwapa watu wote uhai+ na pumzi+ na vitu vyote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki