Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ambaye mkononi mwake mna nafsi+ ya kila aliye hai

      Na roho ya mwili wote wa mwanadamu?+

  • Zaburi 104:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ukiuficha uso wako, wanaingiwa na wasiwasi.+

      Ukiiondoa roho yao, wanakata pumzi,+

      Na kurudi katika mavumbi yao.+

  • Mhubiri 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hakuna mwanadamu aliye na nguvu juu ya roho ili kuizuia roho;+ wala hakuna nguvu zozote za kuzuia katika siku ya kifo;+ wala hakuna kuachiliwa katika vita.+ Wala uovu hautawaokoa wanaouzoea.+

  • Mathayo 27:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Tena Yesu akapaaza sauti kubwa, akaitoa roho yake.+

  • Matendo 7:59
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 Nao wakaendelea kumtupia Stefano mawe huku akiomba na kusema: “Bwana Yesu, pokea roho yangu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki