Ayubu 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ambaye mkononi mwake mna nafsi+ ya kila aliye haiNa roho ya mwili wote wa mwanadamu?+ Zaburi 104:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ukiuficha uso wako, wanaingiwa na wasiwasi.+Ukiiondoa roho yao, wanakata pumzi,+Na kurudi katika mavumbi yao.+ Mhubiri 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hakuna mwanadamu aliye na nguvu juu ya roho ili kuizuia roho;+ wala hakuna nguvu zozote za kuzuia katika siku ya kifo;+ wala hakuna kuachiliwa katika vita.+ Wala uovu hautawaokoa wanaouzoea.+ Mathayo 27:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Tena Yesu akapaaza sauti kubwa, akaitoa roho yake.+ Matendo 7:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Nao wakaendelea kumtupia Stefano mawe huku akiomba na kusema: “Bwana Yesu, pokea roho yangu.”+
29 Ukiuficha uso wako, wanaingiwa na wasiwasi.+Ukiiondoa roho yao, wanakata pumzi,+Na kurudi katika mavumbi yao.+
8 Hakuna mwanadamu aliye na nguvu juu ya roho ili kuizuia roho;+ wala hakuna nguvu zozote za kuzuia katika siku ya kifo;+ wala hakuna kuachiliwa katika vita.+ Wala uovu hautawaokoa wanaouzoea.+