Zaburi 89:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Ni mwanamume gani aliye hai ambaye hataona kifo?+Je, anaweza kuiokoa nafsi yake katika mkono wa Kaburi?*+ Sela. Zaburi 104:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ukiuficha uso wako, wanaingiwa na wasiwasi.+Ukiiondoa roho yao, wanakata pumzi,+Na kurudi katika mavumbi yao.+ Zaburi 146:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Roho yake hutoka,+ naye hurudi kwenye udongo wake;+Siku hiyo mawazo yake hupotea.+
48 Ni mwanamume gani aliye hai ambaye hataona kifo?+Je, anaweza kuiokoa nafsi yake katika mkono wa Kaburi?*+ Sela.
29 Ukiuficha uso wako, wanaingiwa na wasiwasi.+Ukiiondoa roho yao, wanakata pumzi,+Na kurudi katika mavumbi yao.+