Zaburi
3 Msiweke tegemeo lenu katika watu wenye vyeo,+
Wala katika mtu wa udongo, ambaye hana wokovu wowote.+
5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,+
Ambaye tumaini lake liko katika Yehova Mungu wake,+
6 Mtengenezaji wa mbingu na dunia,+
Wa bahari, na vyote vilivyomo,+
Yeye anayedumisha ukweli mpaka wakati usio na kipimo,+
7 Yeye anayetekeleza hukumu kwa ajili ya waliopunjwa,+
Yeye anayewapa wenye njaa mkate.+
Yehova anawafungua wale waliofungwa.+
8 Yehova anafungua macho ya vipofu;+
Yehova anawainua wale walioinama chini;+
Yehova anawapenda waadilifu.+