Zaburi 33:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lenye furaha ni taifa ambalo Mungu wake ni Yehova,+Watu ambao amewachagua wawe urithi wake.+ Zaburi 46:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova wa majeshi yuko pamoja nasi;+Mungu wa Yakobo ni kilele chetu salama.+ Sela Zaburi 144:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wenye furaha ni watu ambao mambo yako hivyo kwao!”Wenye furaha ni watu ambao Mungu wao ni Yehova!+ Yeremia 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Amebarikiwa yule mtu hodari anayemtegemea Yehova, na ambaye Yehova amekuwa uhakika wake.+
15 Wenye furaha ni watu ambao mambo yako hivyo kwao!”Wenye furaha ni watu ambao Mungu wao ni Yehova!+