Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Onjeni mwone ya kuwa Yehova ni mwema;+

      Mwenye furaha ni mwanamume ambaye humkimbilia.+

  • Zaburi 125:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 125 Wale wanaomtegemea Yehova+

      Ni kama Mlima Sayuni,+ ambao hauwezi kutikiswa, bali hukaa mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Zaburi 146:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,+

      Ambaye tumaini lake liko katika Yehova Mungu wake,+

  • Methali 16:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Anayetumia ufahamu katika jambo atapata mema,+ naye anayemtegemea Yehova+ ni mwenye furaha.

  • Isaya 26:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mwelekeo ambao umetegemezwa vema utaulinda katika amani ya kudumu,+ kwa sababu huyo hufanywa akutegemee wewe.+

  • Isaya 30:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na kwa hiyo Yehova ataendelea kutarajia kuwaonyesha ninyi kibali,+ na kwa hiyo atasimama ili kuwaonyesha ninyi rehema.+ Kwa maana Yehova ni Mungu wa hukumu.+ Wenye furaha+ ni wale wote wanaoendelea kumtarajia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki