Zaburi 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wale wanaolijua jina lako watakutegemea,+Kwa maana hakika hutawaacha wale wanaokutafuta, Ee Yehova.+ Yeremia 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Amebarikiwa yule mtu hodari anayemtegemea Yehova, na ambaye Yehova amekuwa uhakika wake.+
10 Na wale wanaolijua jina lako watakutegemea,+Kwa maana hakika hutawaacha wale wanaokutafuta, Ee Yehova.+