Zaburi 91:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa sababu ameweka upendo wake juu yangu,+Mimi nitamwokoa pia.+Nitamlinda kwa sababu amelijua jina langu.+ Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+ Yeremia 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Kwa hiyo, tazama, ninawafanya wajue; wakati huu mmoja nitawafanya waujue mkono wangu na nguvu zangu,+ nao watajua kwamba jina langu ni Yehova.”+
14 Kwa sababu ameweka upendo wake juu yangu,+Mimi nitamwokoa pia.+Nitamlinda kwa sababu amelijua jina langu.+
21 “Kwa hiyo, tazama, ninawafanya wajue; wakati huu mmoja nitawafanya waujue mkono wangu na nguvu zangu,+ nao watajua kwamba jina langu ni Yehova.”+