Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 91:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa sababu ameweka upendo wake juu yangu,+

      Mimi nitamwokoa pia.+

      Nitamlinda kwa sababu amelijua jina langu.+

  • Methali 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+

  • Yeremia 16:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Kwa hiyo, tazama, ninawafanya wajue; wakati huu mmoja nitawafanya waujue mkono wangu na nguvu zangu,+ nao watajua kwamba jina langu ni Yehova.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki