Kutoka 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova ni mtu wa vita+ anayetenda kiume. Yehova ndilo jina lake.+ Zaburi 83:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ili watu wajue+ kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi,+ juu ya dunia yote.+ Yeremia 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Yehova, Mtengenezaji+ wa dunia, amesema hivi, Yehova Mfanyizaji+ wake ili kuifanya imara,+ Yehova ndilo jina lake,+
18 Ili watu wajue+ kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi,+ juu ya dunia yote.+
2 “Yehova, Mtengenezaji+ wa dunia, amesema hivi, Yehova Mfanyizaji+ wake ili kuifanya imara,+ Yehova ndilo jina lake,+