Zaburi 96:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Semeni kati ya mataifa: “Yehova amekuwa mfalme.+Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isitikiswe.+Yeye atatetea kwa unyoofu vikundi vya watu katika kesi yao.”+ Zaburi 104:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ameiwekea dunia msingi juu ya mahali pake palipofanywa imara;+Haitatikiswa mpaka wakati usio na kipimo, au milele.+ Zaburi 119:90 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 90 Uaminifu wako ni wa kizazi baada ya kizazi.+Umeiweka dunia imara, ili ipate kuendelea kusimama.+ Mhubiri 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kizazi kinaenda,+ kizazi kinakuja;+ lakini dunia inasimama mpaka wakati usio na kipimo.+
10 Semeni kati ya mataifa: “Yehova amekuwa mfalme.+Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isitikiswe.+Yeye atatetea kwa unyoofu vikundi vya watu katika kesi yao.”+
5 Ameiwekea dunia msingi juu ya mahali pake palipofanywa imara;+Haitatikiswa mpaka wakati usio na kipimo, au milele.+