Kutoka 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mwishowe Yosefu akafa,+ na pia ndugu zake wote na kizazi hicho chote. Zaburi 89:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Ukumbuke mimi nina urefu gani wa maisha.+Je, ni kwa ubatili kwamba umewaumba wana wote wa binadamu?+ Zaburi 90:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana siku za miaka yetu ni miaka 70;+Na ikiwa kwa sababu ya nguvu za pekee ni miaka 80,+Hata hivyo hizo husisitiza kuleta taabu na mambo yenye kuumiza;+Kwa maana lazima zipite upesi, nasi huruka na kwenda zetu.+ Mhubiri 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha mavumbi huirudia nchi+ kama yalivyokuwa, nayo roho+ yenyewe humrudia Mungu+ wa kweli aliyeitoa.+ Zekaria 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “ ‘Basi baba zenu wako wapi?+ Na je, manabii+ waliendelea kuishi mpaka wakati usio na kipimo?
47 Ukumbuke mimi nina urefu gani wa maisha.+Je, ni kwa ubatili kwamba umewaumba wana wote wa binadamu?+
10 Kwa maana siku za miaka yetu ni miaka 70;+Na ikiwa kwa sababu ya nguvu za pekee ni miaka 80,+Hata hivyo hizo husisitiza kuleta taabu na mambo yenye kuumiza;+Kwa maana lazima zipite upesi, nasi huruka na kwenda zetu.+
7 Kisha mavumbi huirudia nchi+ kama yalivyokuwa, nayo roho+ yenyewe humrudia Mungu+ wa kweli aliyeitoa.+