Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mwishowe Yosefu akafa,+ na pia ndugu zake wote na kizazi hicho chote.

  • Zaburi 89:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Ukumbuke mimi nina urefu gani wa maisha.+

      Je, ni kwa ubatili kwamba umewaumba wana wote wa binadamu?+

  • Zaburi 90:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana siku za miaka yetu ni miaka 70;+

      Na ikiwa kwa sababu ya nguvu za pekee ni miaka 80,+

      Hata hivyo hizo husisitiza kuleta taabu na mambo yenye kuumiza;+

      Kwa maana lazima zipite upesi, nasi huruka na kwenda zetu.+

  • Mhubiri 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha mavumbi huirudia nchi+ kama yalivyokuwa, nayo roho+ yenyewe humrudia Mungu+ wa kweli aliyeitoa.+

  • Zekaria 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “ ‘Basi baba zenu wako wapi?+ Na je, manabii+ waliendelea kuishi mpaka wakati usio na kipimo?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki