Ayubu 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mwanadamu, aliyezaliwa na mwanamke,+Ana maisha mafupi+ na yenye kujaa msukosuko.+ Zaburi 144:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwanadamu anafanana na pumzi tu;+Siku zake ni kama kivuli kinachopita.+ Mhubiri 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kwa maana mwanadamu akiishi miaka mingi, na aishangilie hiyo yote.+ Na azikumbuke siku za giza,+ ingawa huenda zikawa nyingi; kila siku ambayo imekuja ni ubatili.+
8 kwa maana mwanadamu akiishi miaka mingi, na aishangilie hiyo yote.+ Na azikumbuke siku za giza,+ ingawa huenda zikawa nyingi; kila siku ambayo imekuja ni ubatili.+