Zaburi 51:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tazama! Nilizaliwa kwa maumivu nikiwa na kosa,+Na mama yangu alinichukua mimba katika dhambi.+ 1 Wakorintho 11:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana kama vile mwanamke ametoka katika mwanamume,+ vivyo hivyo pia mwanamume amepitia katika mwanamke;+ lakini vitu vyote vimetoka kwa Mungu.+
12 Kwa maana kama vile mwanamke ametoka katika mwanamume,+ vivyo hivyo pia mwanamume amepitia katika mwanamke;+ lakini vitu vyote vimetoka kwa Mungu.+