Mwanzo 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Akamwambia mwanamke: “Nitazidisha sana maumivu ya mimba yako;+ kwa uchungu utazaa watoto,+ na tamaa yako itakuwa kwa mume wako, naye atakutawala.”+ Ayubu 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ni nani anayeweza kutokeza mtu safi kutoka katika mtu asiye safi?+Hakuna hata mmoja. Waroma 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja+ dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo+ kupitia dhambi, na hivyo kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+—.
16 Akamwambia mwanamke: “Nitazidisha sana maumivu ya mimba yako;+ kwa uchungu utazaa watoto,+ na tamaa yako itakuwa kwa mume wako, naye atakutawala.”+
12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja+ dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo+ kupitia dhambi, na hivyo kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+—.