Mwanzo 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye Adamu akaishi miaka 130. Ndipo akazaa mwana kwa mfano wake, kwa sura yake. Akamwita jina lake Sethi.+ Zaburi 51:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tazama! Nilizaliwa kwa maumivu nikiwa na kosa,+Na mama yangu alinichukua mimba katika dhambi.+ Yohana 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kile ambacho kimezaliwa kwa mwili ni mwili, na kile ambacho kimezaliwa kwa roho ni roho.+ Waroma 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja+ dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo+ kupitia dhambi, na hivyo kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+—.
3 Naye Adamu akaishi miaka 130. Ndipo akazaa mwana kwa mfano wake, kwa sura yake. Akamwita jina lake Sethi.+
12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja+ dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo+ kupitia dhambi, na hivyo kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+—.