19 Kwa jasho la uso wako utakula mkate mpaka utakaporudi katika udongo, kwa kuwa ulitolewa katika huo.+ Kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.”+
9 Basi Yakobo akamwambia Farao: “Siku za miaka ya makao yangu katika nchi ya kigeni ni miaka 130.+ Zimekuwa chache na zenye kutaabisha,+ nazo hazijafikia siku za miaka ya maisha ya baba zangu, siku za makao yao katika nchi ya kigeni.”+