Mwanzo 31:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Nimejionea kwamba wakati wa mchana joto limenimaliza nguvu, na baridi wakati wa usiku, nao usingizi wangu ulikimbia machoni pangu.+ Danieli 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndipo mfalme akaenda katika jumba lake, akafunga usiku kucha,+ wala hakuna vyombo vyovyote vya muziki vilivyoletwa mbele yake, na usingizi wake ukamtoka.+ Luka 12:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa hiyo acheni kutafuta mnachoweza kula na mnachoweza kunywa, na acheni kuhangaika kwa wasiwasi;+
40 Nimejionea kwamba wakati wa mchana joto limenimaliza nguvu, na baridi wakati wa usiku, nao usingizi wangu ulikimbia machoni pangu.+
18 Ndipo mfalme akaenda katika jumba lake, akafunga usiku kucha,+ wala hakuna vyombo vyovyote vya muziki vilivyoletwa mbele yake, na usingizi wake ukamtoka.+
29 Kwa hiyo acheni kutafuta mnachoweza kula na mnachoweza kunywa, na acheni kuhangaika kwa wasiwasi;+