Danieli 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha mfalme akaenda kwenye jumba lake la kifalme. Akafunga usiku kucha na kukataa kutumbuizwa kwa njia yoyote,* naye akashindwa kulala usingizi.*
18 Kisha mfalme akaenda kwenye jumba lake la kifalme. Akafunga usiku kucha na kukataa kutumbuizwa kwa njia yoyote,* naye akashindwa kulala usingizi.*