Esta 6:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Usiku huo usingizi wa mfalme ulimtoka.+ Kwa hiyo akasema kwamba kitabu cha kumbukumbu+ za mambo ya nyakati kiletwe. Kisha mambo hayo yakasomwa mbele ya mfalme. Danieli 2:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na katika mwaka wa pili wa ufalme wa Nebukadneza, Nebukadneza aliota ndoto;+ na roho yake ikaanza kuhangaika,+ usingizi wake ukatoweka.
6 Usiku huo usingizi wa mfalme ulimtoka.+ Kwa hiyo akasema kwamba kitabu cha kumbukumbu+ za mambo ya nyakati kiletwe. Kisha mambo hayo yakasomwa mbele ya mfalme.
2 Na katika mwaka wa pili wa ufalme wa Nebukadneza, Nebukadneza aliota ndoto;+ na roho yake ikaanza kuhangaika,+ usingizi wake ukatoweka.