8 Ikawa kwamba asubuhi, roho yake ikafadhaika.+ Basi akawaita makuhani wote wenye kufanya uchawi wa Misri+ na watu wake wote wenye hekima,+ naye Farao akawasimulia ndoto zake.+ Lakini hakukuwa na yeyote aliyeweza kumtafsiria Farao ndoto hizo.
5 Kuna ndoto ambayo niliona, nayo ikaanza kuniogopesha.+ Na kulikuwa na picha za mawazo kitandani mwangu na maono ya kichwa changu yaliyoanza kuniogopesha.+