Mwanzo 47:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Yakobo akamwambia Farao: “Siku za miaka ya makao yangu katika nchi ya kigeni ni miaka 130.+ Zimekuwa chache na zenye kutaabisha,+ nazo hazijafikia siku za miaka ya maisha ya baba zangu, siku za makao yao katika nchi ya kigeni.”+ Ayubu 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mwanadamu, aliyezaliwa na mwanamke,+Ana maisha mafupi+ na yenye kujaa msukosuko.+
9 Basi Yakobo akamwambia Farao: “Siku za miaka ya makao yangu katika nchi ya kigeni ni miaka 130.+ Zimekuwa chache na zenye kutaabisha,+ nazo hazijafikia siku za miaka ya maisha ya baba zangu, siku za makao yao katika nchi ya kigeni.”+