Ayubu 34:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Akikaza moyo wake juu ya mtu yeyote,Akijikusanyia kwake roho na pumzi ya mtu huyo,+ Zaburi 104:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ukiuficha uso wako, wanaingiwa na wasiwasi.+Ukiiondoa roho yao, wanakata pumzi,+Na kurudi katika mavumbi yao.+ Mhubiri 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ni nani anayejua roho ya wana wa binadamu, ikiwa inapanda juu; na roho ya mnyama, ikiwa inashuka chini duniani?+
29 Ukiuficha uso wako, wanaingiwa na wasiwasi.+Ukiiondoa roho yao, wanakata pumzi,+Na kurudi katika mavumbi yao.+
21 Ni nani anayejua roho ya wana wa binadamu, ikiwa inapanda juu; na roho ya mnyama, ikiwa inashuka chini duniani?+