Ayubu 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumbuka kwamba uzima wangu ni upepo;+Kwamba jicho langu halitaona mema tena. Zaburi 39:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tazama! Umezifanya siku zangu kuwa chache tu;+Na urefu wa maisha yangu si kitu mbele zako.+Kwa kweli kila mtu wa udongo, ingawa anasimama imara, si kitu ila pumzi tu.+ Sela. Zaburi 119:84 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 84 Siku za mtumishi wako ni ngapi?+Utatekeleza hukumu wakati gani juu ya wale wanaonitesa?+
5 Tazama! Umezifanya siku zangu kuwa chache tu;+Na urefu wa maisha yangu si kitu mbele zako.+Kwa kweli kila mtu wa udongo, ingawa anasimama imara, si kitu ila pumzi tu.+ Sela.